habari member. hakika juice ya cabage na majani ya mashona nguo n kiboko,nimetumia siku mbili nipo fresh sana gas tumboni kwisha kabisa japo pia nazingatia vyakula stak hizi coca
yani hii ndiyo shida yangu. tumbo haliniumi lkn nikinywa soda au dagaa au limao tumbo linajaa sana natoa sana ushuz nakuwa na hofu sana na sijui nahofia nini yani nakosa hadi amani.nilienda benjamini mkapa wakanipima wakanambia ni vidonda vya tumbo wakanipa dawa nyingi lkn zimedunda nahitaji...
wakuu niaje.nina simu ya samsung note9 shida niki unistall au delete txt notification ya deleted inakaa muda mrefu sana alaf ndy inatoka.eg. picha below
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.