CCM ina mambo yake yanakosolewa na watu ila kuna jambo moja wamelipatia sana, ambalo vyama vingi barani afrika vimefeli
nalo ni kujenga chama ambacho kinamjumuiko (inclusivity) ya watanzania karibu jamii zote
CCM ni chama cha matajiri, maskini, wasomi, wajinga, waislamu, wakristo, wahindu...