Natumia Huawei Y5 lite, kila nikitaka ku-upload file au picha nakutana na changamoto hiyo, nilijaribu ile option ya ku-uncheck (don't keep activities) kwenye developer option lakini shida bado ipo. Naomba msaada wa jinsi ya kutatua hii shida kwa mwenye ujuzi,
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.