Ambavyo havijapanda Bei ni mazao ya vyakula tuna mshukuru mungu sana unga wa sembe bei nzuri, mchele bei nzuri na pia now days watu wanatumia gas katika kupika so life is simple( ila unatakiwa ufanye kazi sio simple kihvo)
Kwa hapo tunashukuru serikali ya awamu ya sita!!
Habari za muda huu, naanza na hvi Cha kwanza husiseme unataka kucheza forex( Forex HAICHEZWI) weka kwenye akili yako now pia forex sio kamali..., Baadhi ya watu wanao deposit pesa na wanapata faida nchini kwetu mfano Sir Jeffie!!
Forex sio kamili ni online business ambayo una deposit pesa...
Yaan naumia sana kwa sisi wavulana/wanaume kuona wadada zetu hawawezi kujitegemea mpaka now tuna wadharirisha mitandaoni 😭 ili sio vizur na aileti picha nzuri katika jamii serious.
Please tuache hii tabia. Na pia wakina dada msijirahisishe sana ni ushauri tu. Note ushauri unaweza kuhufata au...
Kwa kuwa Kila mtu yupo sahihi kwa nafasi yake lakini fata Sheria za nchi maana husije vunja Sheria za nchi ni kosa la jinai fanya research kwanza kusanya data, watu wate comment chanya au hasi..., Ukipata comment chanya wew endelea nayo hyo business
Boss habari za muda huu, kwa kwel Biashara hyo inafanywa online business lakini kwa huku kwetu TZ baadhi ya watu wanafanya ila first of all fanya research..
Kusanya DATA kwa watu mbalimbali, Conclusion angalia na some effect katika society halafu conclude wew mwenyewe!!
Yeah serious problem, mafuta yanapanda Bei Kila kukicha yaan wapishi wakina mama wanatumia sana daah sasa hvi kutatokea na effect ya Bei ya vyakula vinavyo tumia mafuta haswa mtaani!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.