Recent content by Nasiche

  1. Nasiche

    Mwezi mmoja wa Ndoa Sasa Tangu niolewe na mwanaume ambaye nilimpata kupitia JF

    So una taka kusema nimekosea kuwapa mrejesho?
  2. Nasiche

    Mwezi mmoja wa Ndoa Sasa Tangu niolewe na mwanaume ambaye nilimpata kupitia JF

    Mimi naishi wakati uliopo, kama yatakuja kuchange ajuaye ni Mungu
  3. Nasiche

    Mwezi mmoja wa Ndoa Sasa Tangu niolewe na mwanaume ambaye nilimpata kupitia JF

    Mimi binafsi nilisahau ,usiku wa Jana ndo alinikumbusha kuleta mrejesho Ni Kwa sababu baada ya kujuana alikuwa hakai mbali na napokaa Mimi so tulizoeana mpaka tukasahau kuhusu Jf
  4. Nasiche

    Mwezi mmoja wa Ndoa Sasa Tangu niolewe na mwanaume ambaye nilimpata kupitia JF

    September 28 ,2019 nikiwa nimekosa uelekeo wa maisha ya kimahusiano nilikuja hapa jukwaani ,Nikasema natafuta Mume ,kiukweli uhitaji nilikiwa nao lakini sikuwa naamini kama huku nitapata mtu,pili niliogopa ningeonekana kuhuni au kutoaminika so ilikuwa kama njia TU ya kujiondolea stress walikuja...
  5. Nasiche

    Vijana wa Arusha kama Black America

    Kina mwaisa nao wanajuwa kubaa basi sawa
  6. Nasiche

    Vijana wa Arusha kama Black America

    Nani kaongelea saizi ya mwili??
  7. Nasiche

    Vijana wa Arusha kama Black America

    I can see Tef
  8. Nasiche

    Vijana wa Arusha kama Black America

    Additional point: Haikuhusu, unaringa inajisikia una double standards kwa binadamu wenzako Yani wewe kuzaliwa dar na Meno meupe unajiona umemaliza kila kitu #[emoji847][emoji847]
Back
Top Bottom