Recent content by nasiburashidi20

  1. nasiburashidi20

    Waziri Mkuu Majaliwa: Atakeyeonea waandishi wa habari kukiona

    alinifulahisha ile siku magu kukata kamba kabla ya kutangaza watu chini chini walikuwa wanasema mzee kakata kamba sasa huyu namungo gang akasema chato gang yupo ofisini na anaendelea na kazi kumbe wamemuweka monchwari
  2. nasiburashidi20

    Kiongozi wa Kikundi cha Ugaidi cha Islamic Jihad auawa na Israel

    Kiukweli tujifunze kitu hapo hawa mashehe wanaoacha kufundisha uislamu badala yake wanafundisha kuhusu wakristo kuwa makafili ,,, Unazani hata kule palestina hawapo mashehe kama hao? kwahio achene makafili wafanye ukafili mnaouzungumza kuwahusu simnaupenda? basi vumilieni hamuwawezi wale...
  3. nasiburashidi20

    Sudan Kusini: Rais Salva Kiir avunja Bunge

    https://refer4.cash/nasiburashidi20 Fungua hio link upate habari muhimu
  4. nasiburashidi20

    Ayatollah: Israel sio taifa, ni ngome ya magaidi

    Wanasemaga eti Israel nikiboko ya mataifa yote kwa kugawa vitasa.
  5. nasiburashidi20

    TCRA: Sasa vifurushi vimerudi kama awali

    Naamini kabisa lilikuwa wazo la mtukufu wala sio wazo la waziri nduguyule kuhusu kupanda kwa vifulushi ili vijana tukachimbe vyoo ndio tuonekane kwamba tunaendana na hapa kazi tu. kwamaana kabla hajatutoloka kunabaazi ya vibwengo walikuwa wanatafuta kiki kwa kusema vijana niwavivu. hivyo...
  6. nasiburashidi20

    Mbunge wa Kilolo ahoji ni lini Serikali itashusha gharama za vifurushi

    1.sh500=mb500siku 2.sh1000=1.2gb siku 3sh1000=1gbwiki 4.2000=2.5gb wiki 5.sh2000=2gb mwezi
  7. nasiburashidi20

    Rais Samia: Tukutane Jumanne baada ya Pasaka kwa uapisho mwingine, hapa hapa Ikulu

    Yangu macho tu. Kama hakuna katiba mpya naamini hakuna jipya
Back
Top Bottom