Hawa ni wana habar wachache wasio kuwa na maadili,sijui anawafundisha nn watoto wake na jaamii kwa ujumla,TCRA na mamlaka nyinginezo zinazo husika chukueni hatua.
Huyo mzazi ni mzazi bora ever annataka kukuonesha kuwa unatakiwa kuwa mwanaume na si kutegemea vya nyumbani,hata mm mzazi wangu aliniauzia hatua moja tu kutoka kiwanja nlichonunua ambacho si chake Ila vimepakana na chake,angeweza kunipa bure.acha manung'uniko lipia hela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.