Recent content by nashika

  1. N

    Mtawala Saudi Arabia Mohammed Bin Salman alivunjika moyo kujua wazi hatamuoa binti wa mfalme wa Dubai

    Wazungu kuna wakristo safi na pia kuna washenzi wasiokuwa na dini na wapjnga kristo na pia waarabu kuna waislamu safi na kuna washenzi wasiodini kinachoangaliwa sio race bali imani na mafunzo yake na watu hawafuati aina ya race bali maandiko ya mungu .
  2. N

    Aibu sana: IDF wagundua data center ya HAMAS nchini ya majengo ya shirika la Umoja wa Mataifa (UNRWA)

    Je wajua South Africa ni sehemu ya brics - brazil ,india ,china na yeye south africa hawa wanalengo la kuchallenge current world order na kuamsha multipolar world order yaani kuachana na mbabe mmoja na kuamsha waababe wengi wanaomanage world affairs ,ambapo ikisimama tegemea South africa...
  3. N

    Uimara wa Hamas unatokana na Ubora wa Silaha walizonazo au Ujasiri wa askari wake? Au wanasaidiwa na mamluki?

    Watakuwa majasiri kupitiliza unawezaje kuiface idf iliyochapa all arabs arms in 6days na pia ni funzo kuwa sio lazjma mavifaaa mengi uzalendo ,mapenzi kwa nchi na taifa hayawezi kushindwa mbele ya mabeberu hata waje na nini.
  4. N

    Nani anampa kiburi Netanyau? Hamas hatutaki vita iendelee tumeamua yaishe. Analeta Kibri?

    Netanyahu anakichaa sio mzima hakuna anayeshinda guerilla warfare sana ataendelea kuibomoa idf kila kukicha marekani na maicraft carrier na f32 na manuclear ila Afghanistan wamesurrender na kuwarudisha Taliban after 20years guerrila yaani kila siku unabeba maiti za askari wako thats dem war...
  5. N

    Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe wa serikali, Raisi Samia akubali ukweli huu

    Wewe kajamaaa mtu wa lawama tu January 05.2024 London mji mzuri umapangwa ukapangika mito imepigwa hadi sakafu na kingo zinakuta ila tu nayo imeflood all river zimeoverflow ndio maana ya natural disaster panga upangavyo ila zikija ndio inakuwa hivyo.
  6. N

    PreGE2025 Sare za CHADEMA zagombewa mitaani. Magwanda ya Khaki yawa dili, yaanza kuadimika

    Hivi hiki chama bado kipo kumbe watu tulishakisahau
  7. N

    Uchumi wa Bangladesh ni mkubwa kuliko uchumi wa taifa lolote Afrika

    Tatizo biashara huku hatutaki na pia tunawapiga vita wafanyabiashara wetu na pia jamii haziamini kwenye kufanya na kumiliki biashara ya kutatua matatizo yetu sie twapenda sana hiki kiatu kimetoka ujerumani basi ndio kizuri hatutaki tutengeneze cha kwetu hakuna uchumi imara wa kuimport kila kitu...
  8. N

    Mwarabu kafunga njia Red Sea, meli zinazungukia Afrika, watawala wa dunia wamekwama

    Hizo ndio kadi za iran middle east moja ni bab al mandab na ya pili ni kule strait of hormuz huwa alijipanga akizinguliwa na wenye dunia anajihakikisha anateknolojia ya kufunga hayo maeneo.
  9. N

    Iran kushambulia maeneo ya Pakistan na Iraq kutapunguza nguvu za kupambana na Israel

    Pakistan imeshambuliwa halafu ajabu Pakistan hiyo hiyo jana pakistan navy zilikuwa kwenye mazoezi na iran navy mengi huwa yanaendelea behind the scene ya intelligence community wao moja hao huku nje wanadownplay for public comsumption pakistan walikuwa na uwezo wa kutungua missile ila airdefence...
  10. N

    Marekani yateka silaha za Iran wakipelekewa wanamgambo wa Houthi

    Naona wamepiga missile Yemen kumtishia muiran kuwa they mean bussines nayeye muiran kapiga precise guided missile 1200km na bila kumiss kuwaonyesha kama mkileta vita hapa kwetu miji yenu itachapika kwa kuwa hizo missile zikiwa kwenye meli au submarine hakuna namna miji ya UK itasalimika kama...
  11. N

    Houthi yaendelea kushambuliwa katika Base zake za Kijeshi, Marekani hawataki mchezo!

    Likely vitapiga us bases ndani ya saudia na sio saudi targets kama zamani kwa kuwa hostility ni us na uk dhidi yao ila kimkakati wanajua wakipiga aramco facility za saudi wanasimamisha uzalishaji mafuta na kutengeneza crisis ila kwa kuwa wanadeal na unmatched adversaries likely itakuwa ni...
  12. N

    Houthi yaendelea kushambuliwa katika Base zake za Kijeshi, Marekani hawataki mchezo!

    Usa alishakuwa mshauri wa kijeshi na kuuza silaha kwa saudi arabi pamoja na coalition ya nchi za kiarabu na nchi moja ya west africa wamepigana na hivyo vijamaa for 7 years 2015 hadi 2022 wakasaini makubaliano ya amani hizo airstrike washapigwa toka miaka hiyo na saudi airforce ambayo ni ndege...
  13. N

    Bei za mafuta juu, vita vikisambaa mashariki ya kati

    Wanachofanya ni illogical lwenda kushambulia Yemen badala ya kuishauri israel isimamishe vita ili wayemen waache kushambulia meli zao maana wayemenj wanaweka presha hiyo ila sasa usa na uk wanaona kuzidisha mzozo ndio suluhu sasa air strike zinazuia vipi wayemen wasiingie baharini na kushambulia...
Back
Top Bottom