Recent content by Nasema 2

  1. N

    Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  2. N

    Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. N

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. N

    Tetesi: Marekani yafanya mazoezi Korea kusini hali ya wasiwasi imetanda

    Marekani wana aina zaidi ya 800 ya makombora ya nyuklia na Noth Korea wana aina around 10 za hayo makombora. Ikiwa una akili timamu jiulize.. Marekani wanamuogopa nani mpaka wawe na silaha zote hizo na wengine wapo salama kiasi gani mpaka wasiruhusiwe kuwa na hizo silaha ikiwa wote tupo ktk...
  5. N

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    Pia kwenye swala la kuwaunga mkono uliowataja nadhani ungesema tuunge mkono ukweli bila kujali rangi, kabila wala chochote kinachowatofautisha jamii moja na nyingine. Ukichunguza kwa makini utagundua kutotendewa haki kwa jamii fulani na jamii nyingine utakuta kunachangiwa pia hata na wahusika wa...
  6. N

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    Mkuu kwenye evidence za rangu inaleta mantiki ila kuna mahali maezezo yako yanajikanganya. 1. Ktk maandiko kitabu cha kutoka kinasema wayahudi walishatolewa utumwani lakini maelezo yako yanaonesha bado wapo utumwani, tafadhali fafanua hilo. 2. Maandiko hayohayo yanaonesha ktk kutoka kuwa...
  7. N

    Ukweli kuhusu viumbe wa ajabu wanaovamia dunia.

    Hivi huko Marekani ndio kupo karibu zaidi na anga za juu? Hao viumbe wanafika huko tu na sio sehemu nyingine za dunia? Acheni kukadiria akili za watu.
  8. N

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    Usichukulie hilo jambo kama ni kuuubwa kama mtihani wa kupata passport ya mbinguni na usimchukulie huyo mwanamke kama ndio special sana kuliko wewe. Jipe moyo utashinda
  9. N

    Wanaume jamani mnatuchefua

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Zile ni chujio la hewa si unajua hewa ya dunia imechafuka karne hizi.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. N

    Si kwamba wasichana visu/warembo hatupo tupo, tatizo wanaume ni bahili hawajui kuhonga

    Hii ni aina mpya ya kutangaza biashara ya ukahaba.. fungua duka kabisa.....
  11. N

    Wanaume wa kuoa wameshaisha waliobakia ni makinikia

    Unataka kutuaminisha kuwa wanawake wa kuolewa ndio wapo wengi kuliko wanaume wa kuoa?
  12. N

    Mwisho wa DUNIA ni kesho tarehe 23-09-2017

    Hata hiyo bible hamuielewi, ktk bible Jesus alikiri kwamba siku ya mwisho hata yeye haijui anajua Mungu tu sasa mnaleta story za kuhisi.. itakuwa hallucinations za bhangi hizo
  13. N

    Wapingaji uwepo wa Mungu wameongoka na kukengeuka msimamo wao?

    Shetani alihusika vipi? Unaonekana fikra unazotuletea ni kwamba hakuna ila kuna shetani. Bila shaka umetumwa na shetani aidha bila kujua au unajua ueneze hizo fikra. Hili halihitaji vipimo vya kisayansi kubaini. Logically iko wazi Huwa mnaleta ubishi ubishi usio na ushahidi mnatumia hekima...
  14. N

    Wapingaji uwepo wa Mungu wameongoka na kukengeuka msimamo wao?

    Gregory Mendel mwanzilishi wa sayansi ya vinasaba katika viumbe hai (genetics) alikuwa mtu mtu wa imani katika Mungu na kiongozi wa dini na alichangia kiasi kikubwa kuleta concept ya trait inheritance katika sayansi ya genetics... hivyo si kweli kuwa wanaoamini Mungu hawajihusishi na maendeleo...
Back
Top Bottom