Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
Mababu na mababu wa huko vizazi vilivyopita waliishi hadi mapangoni mbona hatujasikia wamekutana na aliens au sijui vitoto vyake?
Ili hali mambo , mengine yote tumesimuliwa na kuyashuhudia hata wakati mwingine. Kwa nini hao aliens wao wasijitokeza hadi leo ni miaka maelfu elfu mbona asije afrika ndiyo kuna mapori , mistu, miamba mingi ila aliens wote wanaelekea USA na Europe!
Hapo pa kuonekana, Europe na USA ndipo uongo unapo anzia na kuonesha kuwa pana "a certian agenda behind this conspiracy game".
Kuwa pana, kitu kinaletwa au kutengenezwa kisha kiwe ni kwa ajili ya dunia nzima as a means to protect ourselves from unavailable creatures.
Ili hali mambo , mengine yote tumesimuliwa na kuyashuhudia hata wakati mwingine. Kwa nini hao aliens wao wasijitokeza hadi leo ni miaka maelfu elfu mbona asije afrika ndiyo kuna mapori , mistu, miamba mingi ila aliens wote wanaelekea USA na Europe!
Hapo pa kuonekana, Europe na USA ndipo uongo unapo anzia na kuonesha kuwa pana "a certian agenda behind this conspiracy game".
Kuwa pana, kitu kinaletwa au kutengenezwa kisha kiwe ni kwa ajili ya dunia nzima as a means to protect ourselves from unavailable creatures.