Endelea kujifariji ukweli ni lazima Iran akubali masharti ya Marekani na si ombi, kinyume na hapo atakabiliwa na mapambano makali sana, sikuzuii sikukatishi tamaa endelea na mapenzi na utumwa wako dhidi ya dini ya Waarabu, ubabe wa Marekani unaujua.
Sina maumivu zaidi yako, mbabe hashindwi, Iran amewekewa mzingiro kwenye bandari zake na jeshi la Marekani, Iran kama nchi huru na jeshi la ulinzi wa mapinduzi ya Kiislamu wanauondoaje huo mzingiro batili wa kulazimishwa kutii masharti na matakwa ya Marekani?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.