Wataleta na uzi jinsi ya kukata ndizi kuwa kibamia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na mikasi itakuwa kamba unajinig'iniza juu adi ikat[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mwanaume halisi ni yule anaetambua kusudi la yeye kuzaliwa . Kitendo baba yako kukuweka kwa mama na ukazaliwa ni urisi tosha sasa nenda kashitaki wakujie kivingine
Ningekushauli iyo pesa unayonunua Mb/bando kila siku uwekeze itazaa na baba atakuja kulelewa kwako nando msamaha bola kuliko
Ilikuwa juzi na hatimaye imefika na awamu ijayo itafika na itapita pia sisi chamuimu tunanufaika na nini mda atakaokuwepo madalakani ? kuusu maneno yake sizani kama yanautata
Yupi sahihi kwako ? Akili kichwani mwako[emoji848]
Pole sana at jitaidi kama unamke ufanye kila asubui bola ukaacha usiku bt asubui ukumbuke na kama hauna oa uishi na mke
Husaidia kupinguza makali pia hupunguza upigaj punyeto at
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.