Yani comment zote 57 nimesoma hakuna hata inayoelezea yanayoendelea mahakamani hata alieanzisha Post nae kimya kweli JF imebadilika sana sasa ile ya kwetu imepotea Nimerudi jamani mapumzikoni hahaha
Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
Natest mitambo tu huyo pia ni mmoja wa mashabiki nikianza kazi utaelewa au unaweza kupitia uzi wangu wa kombe la Dunia lililopita utaelewa nini namaanisha.
Kama kawaida kwenye Kombe la Dunia huwa nawaletea picha na matukio yanayoendelea ndani ya uwanja na nje ya uwanja bila kusahau mitaani wakati wa Kombe la Dunia kwa wale wahenga wa Jamii F wa jukwaa la Picha wanajua sasa tutaanza kuwa pamoja kama kawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.