Kumbuka hata Abraham alipimwa Imani yake kwa kumtoa mtoto wa pekee, lkn alipoishinda Imani yake aliongezewa uzao pia,... Yesu anatufundisha siri ya mafanikio,. Si kwamba angeuza mali akaigawa angekuwa maskini, hapana, angeongezewa zaidi ya kile alichokiuza.. Sasa utaona alionyesha Imani yake...
Ni jambo jema.. Ila sio tiba. Mitaala pia ibadilishwe,.. Kuanzia elimu ya sekondari wangeiunganisha na vyuo vya VETA na Kilimo&ufugaji,.. Pia yafundishwe masomo ya entrepreneurship,.. Tutaweza kupunguza fikra tegemezi ya ajira kwa serikali...
This season Simba hana team ya kwenda Makundi,.. Ajiandae mechi za hapa hapa za ligi.. Kikosi kibovu sana,. Msiishi kwa kukariri na hisia.. Ukweli mchungu na maendeleo haya Chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.