Recent content by Nanoli

  1. Nanoli

    Naomba ufafanunuzi juu ya kisa cha tajiri na yesu(luka 18:18-27)

    Kumbuka hata Abraham alipimwa Imani yake kwa kumtoa mtoto wa pekee, lkn alipoishinda Imani yake aliongezewa uzao pia,... Yesu anatufundisha siri ya mafanikio,. Si kwamba angeuza mali akaigawa angekuwa maskini, hapana, angeongezewa zaidi ya kile alichokiuza.. Sasa utaona alionyesha Imani yake...
  2. Nanoli

    Panya Road wavamia nyumba za wakazi Kibaha, wapora na kujeruhi wananchi kadhaa

    Kama huna akili si lazima uchangie,.. Soma comments tu utajifunza kitu
  3. Nanoli

    Mbona kila kitu haraka, kuna nini Simba?

    NGADA FC
  4. Nanoli

    INAUZWA Kama una mtoto pitia hapa

    150k mihela yote hiyo aisee!
  5. Nanoli

    Hivi Ajira ya Zimamoto itamlipa Majaliwa kuliko Uvuvi wake?

    Jana kapewa mil 1 na Mkuu wa Mkoa, leo kapewa mil 5 na YANGA,.. bado wahanga wachangie ili wazo hilo la boat litimie,.. Bado hajachelewa
  6. Nanoli

    Nimeachana na mke wangu

    Una umri gani mkuu? Tuanze na hilo then naweza kukushauri
  7. Nanoli

    Nini yalikuwa makosa katika Mechi ya Leo kwa Yanga dhidi ya Club Africaine?

    Kocha hana mbinu mpya.. Ni rahisi mpinzani kumsoma na kumdhibiti kwakua habadiliki,..
  8. Nanoli

    Wadau wapendekeza Elimu ya Msingi kuishia darasa la 6

    Ni jambo jema.. Ila sio tiba. Mitaala pia ibadilishwe,.. Kuanzia elimu ya sekondari wangeiunganisha na vyuo vya VETA na Kilimo&ufugaji,.. Pia yafundishwe masomo ya entrepreneurship,.. Tutaweza kupunguza fikra tegemezi ya ajira kwa serikali...
  9. Nanoli

    Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

    Daah! Nimeandika nikafuta kama mara 4 hivi,... Yaani we jamaa una wakati mgumu sana,.. Na ukichukulia powa, kifo kiko mlangoni pako!
  10. Nanoli

    Hizi ndizo top ten taasisi private sector zinazolipa vizuri

    Lugha ya TGS D wachache wa serikalini wenzio ndo watakuelewa
  11. Nanoli

    Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

    Nenda ustawi wa jamii, waambie hupendi mahusiano na Mzazi mwenzio ila wakupe utaratibu wa kuhudumia mtoto tu!
  12. Nanoli

    Natabiri timu zitakazofika Makundi kwenye ligi ya mabingwa Africa

    This season Simba hana team ya kwenda Makundi,.. Ajiandae mechi za hapa hapa za ligi.. Kikosi kibovu sana,. Msiishi kwa kukariri na hisia.. Ukweli mchungu na maendeleo haya Chama
  13. Nanoli

    Leo ndio mwanzo na mwisho kwa Mayele kufunga hatrick michuano ya CAF

    Mayele ni yule yule,.. Juzi, jana na leo.... Kwako ulinusurika goal moja tu akupige hat-trick
  14. Nanoli

    Simba SC kucheza mechi 3 za Kimataifa za Kirafiki kujiandaa na michuano ya CAF na Ligi Kuu

    Hili sio jipya,... Ishacheza pre season huko Egypt,.. Akaja bongo akala 2,.. Nyie jitekenye tu
Back
Top Bottom