BEI: 300,000,000/- Maongezi yapo kwa mhitaji
MAHALI:TABATA RELINI(karibu na st.Mary chuo cha ualimu)
UKUBWA: SQUARE M 1600
UHALALI:KINA HATI AMBAYO INALIPIWA KILA MWAKA
Mhitaji anaweza kuja PM hapo aje apaone na apalipie asante sana.
Mkuu kama upo tayari kipo kimoja Mbezi kwa Msumi huku ni cha 20 kwa 20 nacho chaanzia mil 5 za Kitanzania na ni ruksa kuja kukiona na kujiridhisha kabla ya manunuzi kufanyika,toka mbezi mwisho ni dak kama 7 mpaka 10 hivi,na nauli ni 500 kwa Noah,karibu mkuu unaweza kuni Pm hapo
Wakuu kiwanja kinauzwa Mbezi kwa Msumi.
Ukubwa ni 20 kwa 20.
Bei, kinaanzia milioni 5 (kwa mnunuaji mazungumzo yatazingatiwa)
Kiwanja kipo eneo tambarare na kipo jirani kabisa na barabara,pia kutoka Mbezi Mwisho ni safari ya daki 7 mpaka 10 kwa Noah ambapo nauli ni Tshs.500 tu.Njoo uchukue...
Mkuu nina kiwanja hapo Mbezi kwa Msumi,sehemu ni Tambarare kabisa,ukubwa ni 20 kwa 20 na ninaanzia kama milioni 5 tu,na mazungumzo kidogo yanaweza zingatiwa,ukiwa tayari nicheki 0655 44 64 60
Kaka huyo kijana kakaa tumboni miezi tisa na katoka mzima na wa afya,hakuna cha kinga hapo bali ni imani potofu tu,nina wawili wote hawajafunga na wapo poa mpaka leo,kikubwa ni chanjo tu hapo,wapate chanjo zote na kwa wakati na siku 40 za mwanzo kabla mtoto hajapata chanjo,epuka kila mtu...
ki ukweli sidhani kama ni sawa kuwarudisha tena hayo maeneo,Kkoo palikua patulivu na ilikua sehemu salama 85%, na hata ukiwa na usafiri ilikua ni rahisi kwenda hadi katikati ya soko kabisa maana msongamano haukuwepo, nadhan viongozi waliokaamua kuwaondoa walijaribu kuondoa tatizo sugu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.