Tulisema mkwala wakati wa uchaguzi wakati ndege zenyewe zimepitwa na wakati !!! Poleni ndugu zetu mliotelewa kafara, maya zaidi familia hazitasaidiwa na chochote na serikali yetu hii tukufu ya CCm !
Ndugu zangu wa Mtama, hivi muulizeni Nape anaishi wapi ? Yaani anataka kuwafanya nyinyi ngazi ? Msikubali mpeni Kura Yule ambaye mko naye kwenye misiba, mikumi, makomanga na viangulo, muulizeni kwanza Nape Amealuka ? Aimbe kungwe moja tu. Aende Bukoba huko akagombee Kama hawakumtoa balu. Anataka...
AMA kweli nimeamini sisi wapumbavu. Na malofa yaani tunamshabikia mgombea anapiga push ups !! Yaani wakati Tanzania inazidi kuporomoka ! USA wametunyima msaada wa GMG, kwa sababu ya huyo mnayemshabikia kupiga push-ups. Ameiba hela za barabara, hivi mnajua athari watu wetu watakayopata kwa KUKOSA...
Do not sit on your ass wondering, do something !!! tafuta na wewe utapata, sio kukaa kulalamika tu ! unafikiri kulalamika no kutakuletea chakula cha wanao mezani ?
Ndio zao CCM ! Ahadi zao ni Kama MAZOBA hivi, si MAGUFULI kaahidi barabara Sita Sita kutoka Dar hadi Chalinze ! Wakati Dar Hainaut fly over hata moja ! Banjul , Gambia inayotegemea utalii na Karanga tu Ina flyovers 8 ! Hiyo ndio CCM ndani ya miaka 54. Mnatuboa sana sisi tunaotembea huku nje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.