lizaboni kama mtu hakujui anaweza dhani uko mirembe kwa sasa ila kwa mm ambae najua akili za ccm sinaga kuhangaika nayo mfano mdogo tu tuambie bajeti ya kiwanja ndege ilipitishwa wapi ili utambue kwamba hazikutoshi
kwa nchi ilipo ccm haiwezi kusolve chochote hapa Tanzania kwani mwizi namba moja Wa rasilimali za nchi ni ccm. Ukirejea mambo kadhaa utagundua ni uigizaji tu tunafanyiwa watanzania mfano makinikia waliouza madini bongo ni ccm ,angalia pia suala la escrow hilohilo ambalo watu waliitwa tumbili...
ndg mayala huna haja ya kushangaa kwani yanayotokea ni kawaida maana hata mteuaji Wa tume ni mmoja Wa wana ccm ambao wametufikisha hapa cha ajabu unaweza ukaja gundua ndio waliompinga mnyika kuleta mikataba bungeni pia jiulize wale wale waliosema hawarushi bunge live Leo wanahamasisha...
haya yako Tanzania tu ambapo mmoja ya wale walioshiriki kusema ndio na kusema mikataba ni siri anatuambia tena tumeibiwa mno ni mambo ya ajabu sana kwa mambo haya bora umeishi Burundi mambo yakajulikana najiuliza ivi ile gesi mtwara kichapo nilikuwa cha nn kwa wazawa na ile mikataba...
kaka mda ndo kila kitu kwani tunasubiri tu siku ya Uhuru ikija watatukamata watatuweka ndani lkn tusonge mbele refer to Mandela pamoja nafikiri wajifunze ya kibiti maana nasikia askari wameanza kuua watu Wa cuf ili kustandardize
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.