Recent content by Nandembo_1

  1. Nandembo_1

    Nahitaji mwenzi wa maisha

  2. Nandembo_1

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    dah Ila mwambie Mwamba kwa hili kweli kazingua,anaanzaje Family man,tena akija aje na doti ya khanga ya kukutaka radhi.Mengine kwa wenye watoto na wenza waliotengana muwe mnafikiri pande zote Na hili lakurudisha mahari wakati umesha pata uzao nae limekaeje katika tamaduni za huko kwenu au wazee...
  3. Nandembo_1

    Tatizo la kusinyaa kwa mapesheni

    Mdau Vipi ulifanyia kazi mrejesho,matokeo yalikuwaje
  4. Nandembo_1

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Wandugu Vipi hii mambo😯👆naona hakuna taarifa zozote mpaka leo
  5. Nandembo_1

    Lukuvi, Chenge, Kabudi kubalini mmezeeka acheni kujipigia kampeni za uspika, vijana kama Steven Masele kachukueni fomu wakikata jina freshi tu

    Mkuu usipingane na muda,kujiajiri ni lazima na muhimu kwa afya ya akili usijekufa kizembe kwa kuogopa maisha nje ya ajira rasmi,
  6. Nandembo_1

    Tusipotezeane muda! Ukweli ni kwamba 'Ulidanganywa' na 'Wanafiki' kuhusu Kabudi na Lukuvi, ila sasa 'Unatuzuga' na 'Kujikosha' tu Kwao

    Hapo tambua kuna mambo mawili,kuna kusoma na kuelimika na kutumia elimu kuratibu mambo,na kunakusoma ukaelimika na kushindwa kuratibu mambo kisomi,hili la kwanza, Pili hakuna binadamu asie na mapungufu,hivyo basi kumhukumu mtu kwa mabaya na kushindwa kuona mema/jema lake nalo ni tatizo, Lukuvi...
  7. Nandembo_1

    Wakati Watanzania tukiendelea 'Kulewa' na Hotuba ya 'Kumkaanga' Ndugai, tujue Magufuli Umeme ni Tsh 27,000/ na Samia ni Tsh 320,000/

    Ni saw a Ila haiondoi ukweli kwamba umeme ni huduma muhimu pamoja na kwamba inagharama zake,Ila kukosekana plan b ya kum2liza maumivu huyu muhitaji siyo sawa,kwanini pasiwepo installment hata yenye riba?hivi hata mabenki hayawezi kuwekeza mkamalizana kwenye bili taratibu,hivi kweli kwa mitazamo...
  8. Nandembo_1

    Wakati Watanzania tukiendelea 'Kulewa' na Hotuba ya 'Kumkaanga' Ndugai, tujue Magufuli Umeme ni Tsh 27,000/ na Samia ni Tsh 320,000/

    Ndo maana kulikuwa na kamgomofulani tanesco kwenye new connections,hakika tutaisoma no,hakuna yeyote wa kulitolea maelezo hili,hata waziri kuja na options za kupunguza hiki kitu kizito katika huduma hii muhimu,japo hata installment unalipa nusu nusu mnakatana kwenye bili,kweli mwenyeshibe...
  9. Nandembo_1

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Wadau tanesco, Any update ya hii taarifa tafadhali,inazidi kuongeza siku bila mrejesho
  10. Nandembo_1

    Paul Mashauri, Amewaelezea vizuri Marehemu Mengi, Mufuruki, Chande, Musiba na Ruge

    Aisee hivi ndugu, Ni wangapi waliosoma Ila bado ufunguo wa maisha hawajaupata,hebu tuwe positive katika kuangalia mambo,yeyote atakaecopy na kupest haya maneno ya motivation speakers lazima ile kwake,ila kwa yeyote anae yaangalia akayapima vizuri pale kwenye walakini akaingia in deep kupata...
  11. Nandembo_1

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ndugu, Any update so far ,kwavile mkobize kufikisha taarifa zetu tunazofikisha kupitia jukwaa letu hili pendwa wacha tuwasaidie pia kuwakumbusha kufuatilia mrejesho wa haya tunayoyaleta,taarifa zikiwa za pande zote 2 huonyesha commitment hasa.
  12. Nandembo_1

    Safari yangu ya Dar-Njombe-Iringa-Dodoma-Tabora-Kigoma-Kasulu-Kibondo-Nyakanazi-Kahama-Singida-Dom-Dar

    Haki ya nini kunawatu mnakula raha humu duniani,hii kitu ni safi sana kupunguza msongo na kukiupdate kichwa chako,Hongera jombaa
  13. Nandembo_1

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Msaada kupata control no kulipia maunganisho ya umeme toka october 2021 Jina: Khalima Ramadhani Mwachirua Eneo:Nyasa shuleni Wilaya:Masasi No ya simu 0682985792/0625842303 Tatizo:kupata control no ya kulipia maunganisho ya umeme, Tokalini:last update from office past two weeks,kunahitajika...
Back
Top Bottom