Recent content by NANCA

  1. NANCA

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dialysis Zanzibar ni bure na Tanzania bara 180,000 kwa siku

    Mtu anapandikizwa onekane anajitolea kumbe Kuna mtu anatuibia tanganyika afu anamwekea mtu huko Barclays londoni kwa makubaliano kua ajifanye anajitolea zanzibar
  2. NANCA

    JamiiForums Tanzania Kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

    Kama maisha yenyewe ndo haya tunaishi asa mahusiano yanamaana gani
  3. NANCA

    JamiiForums Tanzania Kuna mahala Nyerere alikosea

    Hivi Tanganyika iko wapi? Mbona Zanzibar tunaiona. Rais wa Tanganyika yuko wapi? Mbona wa Zanzibar tunamjua. Bendera ya Tanganyika iko wapi? Mbona ya Zanzibar ipo. Na katiba je ya Tanganyika maana ya Zanzibar ipo. Nadhani kuna mahala Nyerere alikosea hesabu zake au alitaka sifa kwamba yeye ni...
  4. NANCA

    JamiiForums Tanzania Zanzibar bila Tanganyika

    Zanzibar ni mali ya tanganyika ukae ukijua hilo, ni vile tu nyerere hakua mchangamfu na kupenda saaaana maongezi mareeeefu bila vitendo. Ilikua ni swala tu la kusema naifuta Zanzibar na wote tutakua watanganyika
  5. NANCA

    JamiiForums Tanzania Siamini kama bwawa la "stigler gorge" litamaliza tatizo la mgao wa umeme nchini

    Kwako kusafi au unajipendekeza kwa mabwana zako wazungu
  6. NANCA

    JamiiForums Tanzania Siamini kama bwawa la "stigler gorge" litamaliza tatizo la mgao wa umeme nchini

    Akili huna, kwa hyo Ethiopia kujenga bwawa kubwa kabisa la kuzalisha umeme ni wajinga? Haya huyo kikwete wako alieanzisha mradi wa gesi huko mnazi bei na kutuambia tunanunua gesi kwa bei ya chini na gesi itafanya umeme usikatike yako wapi? Yani Kuna vimtu vinajifanya vigreat thinker rrrr kumbe...
  7. NANCA

    JamiiForums Tanzania Israel kujitetea kesho Mahakama ya Kimataifa ICJ, tukeshe tukiwaombea!

    Sifanyi hiyo kazi, Israel aliyomaanisha Mungu sio hii.
  8. NANCA

    JamiiForums Tanzania NEEMA KUU: Bwawa la Nyerere kuzalisha umeme wenye thamani sawa na 50% ya makusanyo ya TRA nchi nzima, (Trillion 12 kwa mwaka)

    Nakuhakikishia watakwambia gharama za uendeshaji ni kubwa kuliko mapato hivyo mradi unaendeshwa kwa hasara. Kama huniamini ngoja uone.
  9. NANCA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia anachafuliwa na wezi na vibaka bila kujua

    Jamani naomba niulize hivi ni wapi ambapo ni mjini ambapo Kuna taasisi za serikali na makazi ya watu na usafiri na uwepo wa taasisi za kifedha ambapo unaweza kufidiwa square mita moja kwa Tsh. 306? Yaani namaanisha hivi ni wapi ambapo ni makao makuu ya wilaya tena upo karibu na ofisi za...
  10. NANCA

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Taifa ubadilishwe

    Nyie si ndo wale baba zenu wanaotutesa. Hvyo lazima unione mwehu.
  11. NANCA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbowe achunguzwe kushindwa kwa CHADEMA

    Ya nini kwani hapa nakufundisha kuandika. We ka huelewi kalale
  12. NANCA

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Taifa ubadilishwe

    Mimi nadhani wimbo wetu tukufu wa taifa unafaa kubadilishwa hasa pale panaposema WABARIKI VIO-NGOZI WETU maana haiwezekani tukawa tunawaombea baraka viongozi matapeli, wanyanyasaji na wakandamizaji Kama baadhi ya hawa tulio nao. Na huwenda haya tunayopitia na kutosikiwa na Mungu huwenda ni...
  13. NANCA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbowe achunguzwe kushindwa kwa CHADEMA

    Yani CHADEMA sijui wanalogagwa na nani, yaani wakati wa kufanya mapambano ili kushinda uchaguzi unakuta wametulia na wakati wa kutulia ili kuunga gurudumu la maendeleo unakuta wanapambana. Yani hawatofautiani na mwanamke mkorofi ambapo hutulia bwana anapokosa hela na huanzisha vurugu bwana...
  14. NANCA

    JamiiForums Tanzania Nchi hii inaupendeleo sana

    Leo nlikua maeneo ya kawe beach nkafika maeneo ya kikwete ambapo zamani kabla yake palikua na mfereji/mto mkuuubwa unaotiririsha maji yake bahari ya hindi. Mfereji huo ulikua ukikua,kutanuka na komong'onyoa sehemu ya ardhi ya makazi hayo lkn leo hii baada ya mheshimiwa kujengewa hapo basi...
  15. NANCA

    JamiiForums Tanzania Waziri Jerry Slaa nalalamika kwako

    Waziri kazi yake kuvaa makoti, masuti na kutoa maagizo yasiyotekelezeka. Ili upate haki yako hyo wizara nipewe mi, ndani ya miezi miwili migogoro yote itakua imeisha. Maafisa ardhi na viongozi wa serikali wanachangia kwa 50% ya migogoro ya ardhi
Back
Top Bottom