Dseni
Member
- Aug 13, 2012
- 36
- 42
Ulipoteuliwa kuwa waziri nilipata matumaini makubwa kwamba Kiwanja changu ambacho naambiwa namba zimeingiliana na kiwanja kingine lingetatuliwa.
Nimefuatilia zoezi la kupata hati kwa miaka 3 sasa; nililipia hati! Lakini ghafla nikaambiwa namba ya kiwanja imeingiliana na kiwanja kingine. Je hili ni tatizo la kudumu kwa muda gani?
Naamini wapo wengine wenye shida hii. Manispaa ya Kinondoni wanajua vizuri sana. Muanala wake ni: Bili #KND00390638, namba ya malipo #991177252780 na kiasi cha 138,682 TZS kwa malipo ya muamala #KND01460187. Mwisho wa malipo tarehe 02-Jun-2023.
Nililipa mpaka leo ni chenga tu!
Tatizo la ardhi si dogo!
Lugha mbaya!
Majibu mabaya!
Kurudishwa mara kadhaa!
Waziri, nimetuma maelezo yangu kwako! Lakini naona unawahudumia wengine kwanza!
Je suala la kuingiliana kwa namba linatatuliwaje?
0769-080-629
Nimefuatilia zoezi la kupata hati kwa miaka 3 sasa; nililipia hati! Lakini ghafla nikaambiwa namba ya kiwanja imeingiliana na kiwanja kingine. Je hili ni tatizo la kudumu kwa muda gani?
Naamini wapo wengine wenye shida hii. Manispaa ya Kinondoni wanajua vizuri sana. Muanala wake ni: Bili #KND00390638, namba ya malipo #991177252780 na kiasi cha 138,682 TZS kwa malipo ya muamala #KND01460187. Mwisho wa malipo tarehe 02-Jun-2023.
Nililipa mpaka leo ni chenga tu!
Tatizo la ardhi si dogo!
Lugha mbaya!
Majibu mabaya!
Kurudishwa mara kadhaa!
Waziri, nimetuma maelezo yangu kwako! Lakini naona unawahudumia wengine kwanza!
Je suala la kuingiliana kwa namba linatatuliwaje?
0769-080-629