Recent content by nanawoo

  1. nanawoo

    Nipeni faraja, nimefiwa na mume wangu mtarajiwa

    Ina lilah waina ilaih rajiun pole sana mwenyezmungu amueke mahala anapostahili
  2. nanawoo

    Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

    Sio haki ushaur anza kumkataa kisiasa mkiwa mnatoka out wewe usitoke mwambie kaka sipo freshi kimwili na kifedha now kuna majukumu nimejipa kuna deni nalilipa nilikopa kwa ajili ya kumkwamua mdogo wangu yupo mkoa anasoma na wazee walibanana naomba nitulie tu hadi takapomaliza
  3. nanawoo

    Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

    Ndio natoka mkuu nina mgonjwa kalazwa ibrahim haji jana usiku nimepigiwa hali yake imebadilika anapumulia gas
  4. nanawoo

    Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

    Mvua ni kubwa sana wanaokaa sehem za mabondeni sijui wakoje mwenyezmungu awanusuru nimepita toangoma nyuma ya kituo cha mafuta oilcom sasa hv mitaa ya kule kama bwawa maji yamejaa sana sijui. Wakaz wake wakoje
  5. nanawoo

    Simba watajisahau tena

    Ulikua unasikiza kwenye redio au ulikua unautazama live tuanzie hapo
  6. nanawoo

    Singida Out, iwe fundisho siku nyingine

    Acha kujieleza sana na kujisahaulisha kikubwa mpen refa fungu lake na kagere msiwatose hii kawaida yenh
  7. nanawoo

    Simba watajisahau tena

    Kumbukumbu iliopo umekula hamsa na kubebwa tanga ngao ya jamii na pia kubebwa zanzibar na singida
  8. nanawoo

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hahahhahaaa hawa jamaa tanga kina frank na rama mchina
  9. nanawoo

    Mwijaku alishindwa nini kununua kiwanja kinachoendana na mipango yake ya ujenzi? Kampuni ya ujenzi ilishindwa kumshauri?

    Hii nyumba hata 500 m haifiki kwa ujenz upi wa kufika b anataka misifa tu anaijua b 1 ilivyo
  10. nanawoo

    Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

    Asijaribu kabisa kuigusa tanzania itamchakaza siku tu hiyo rwanda kama mkoa wa tanga tu
  11. nanawoo

    Nahitaji kupata mume, tujenge maisha

    Vigezo vyote nakidh isipokua dini tu hapo kama upo tayar njoo private
  12. nanawoo

    FT: Tabora United 0 - 1 Young African SC | Jamhuri Stadium-Dodoma | NBC Premier League | 23.12.2023

    Balaaa jamaa hawachoki walipania sana sana inaonekana
  13. nanawoo

    Nimebaini mke wangu ana laini mpya

    Francis Chacha Wambura Kazi; Mkulima Umri: 98 Wake: 6 Watoto: 47 Wajukuu: 86 Sababu ya kifo: uzee Lazaro Olemgbe Kazi: Seremala Umri: 115 Wake: 11 Watoto: 56 Wajukuu: 132 Sababu ya kifo: Uzee. Mabura Mabondo Matinde Kazi: Tailor Umri: 109 Wake: 4 Watoto: 38 Wajukuu: 73...
Back
Top Bottom