Bora tufungiwe maana ajisemee jamaa yangu shirikisho la mpira linaendeshwa na mtu hajawah kucheza hata cha ndimu hana alijualo zaid ya kuvaa koti lake kama mganga wa kienyej
Istiqama tatizo lao kubwa ni ubaguz na baadh ya wanafunzi wao hubebwa sana kisa mtoto wa fulan sasa mwenzangu na mimi pangu patupu hujulikan wewe nani mkazi wa tandale au mwakidila mtoto kama si bandidu atasoma kwa tabu sana
Mpeleke ALHIKMA narudia tena mpeleke ALHIKMA ukiweza nifate private mimi wafoto.wangu wapo ALHIKMA na maendeleo nayaona darul arkam utakuja kujuta tena sana algebra ndio balaa allahumma ghirllahuu warhamahuu wathkanahu fill janna ni balaa la moto pia
Mzee makosa ni yako na mke ni wako miruzi mingi inampoteza mbwa kumbuka ulimpiga na alikua na hasira na maumivu wakat anatoka akakutana na hao washenz na mtu ukiwa na hasira unafanya chochote wewe msamehe rud nyumban mkae muyajenge muekeane mipaka ya maisha yenu na wewe bwege mwanamke hapigwi na...
Yaani we bwege kweli unatongozaje kipumbavu hao hua ukitoka unamlete kijizawad amazing mara moja unampa day worker akusafishie chumba unampa buku 10 kama huna time nae ukirudi zawad kwa style hiyo unajikuta unakula bila kutongoza bwege wewe
Sio hivyo mkuu pia hata sisi wanaume pia ili tupate utulivu ndio tunakua na wao na kutimia hasa kwa mwanaume ni kua na mke kipimo kikubwa kua kiongoz bora kila mmoja ana faida kiupande wake utulivu wetu sisi unatokana na wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.