Sio haki ushaur anza kumkataa kisiasa mkiwa mnatoka out wewe usitoke mwambie kaka sipo freshi kimwili na kifedha now kuna majukumu nimejipa kuna deni nalilipa nilikopa kwa ajili ya kumkwamua mdogo wangu yupo mkoa anasoma na wazee walibanana naomba nitulie tu hadi takapomaliza
Mvua ni kubwa sana wanaokaa sehem za mabondeni sijui wakoje mwenyezmungu awanusuru nimepita toangoma nyuma ya kituo cha mafuta oilcom sasa hv mitaa ya kule kama bwawa maji yamejaa sana sijui. Wakaz wake wakoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.