Recent content by Namche Bazar

  1. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Natamani hata ningekufa leo !

    Be strong .. Hata ukifa leo huko uendeapo bado kuna maisha mengine. Relax punguza hasira,Mungu atafanya njia. Don't worry don't suicide.
  2. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Wapi kuna mkopo riba nafuu dhamana kikwanja

    Tuma picha tuone
  3. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Inasemekana huyu mwamba ni tapeli wa kutisha, kuna yeyote anamfahamu?

    Akikamatwa aguswe jicho lake la nyuma tu. Si anapenda pesa za bure...
  4. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Wakopaji wa fedha

    Mimi nakopesha mtu akiwa uchi tu... There is no way out of this...))
  5. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    ARVS mtapata wapi? Mtakufa midomo wazi na maukimwi yenu.
  6. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Huwa nakula vitumbua hadi 18 na supu ama chai ajabu baada ya masaa2 napata Njaa Kali mno hadi kutetemeka je ni ugonjwa?

    Omba sana usije ukaenda jela. Hutapona kwa ulaji huo...)()()
  7. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Shule ya nursery & daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    Pazuri ila hiyo bei imekaza sana.
  8. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Mama lishe auwawa na mwili wake kutupwa kwenye shamba la mahindi mkoani Kilimanjaro

    Hadi chupi wamemvua? Hao ni watu katili sana. Wakikamatwa nao wavuliwe chupi na wainamishe bila msamaha.
  9. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi za NIDA Kisongo (Arusha) wamegoma kunihudumia kisa nimevaa suruali, wakati watumishi wao nao wamevaa

    Vaa hijabu wafurahi wao. Au una msambwanda wameona wivu?
  10. Namche Bazar

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimegombana na mtu wangu wa karibu kwa sababu nimemnyima Gheto langu asifanye uzinzi

    Hana hata pesa ya lodge? Mwambie ngono ina gharama kubwa.
  11. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Coaster ya school bus inahitajika

    Habari za asubuhi? Natafuta Coaster box body Iwe ya kununua au kukodi kwa mkataba. Kikubwa Coaster iwe na hali nzuri ya body na mashine. Shule ipo Tanga mjini. Tuwasiliane PM.
  12. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Jirani yetu wa kike analalamika Wachungaji walikuwa wakimtekenya maziwa walipokuwa wakimuombea

    Wacha washikwe hata Kei zao. Nani kawatuma kwenda kwa wasanii?? Tuko nje ya muda aisee!!
  13. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Fundi wa kushona sare za shule

    Aje PM tumalize kazi.
  14. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Fundi wa kushona sare za shule

    Habari za Usiku? Natafuta fundi mzuri wa kushona sare za shule ya msingi na chekechea aliyopo Tanga mjini. Fundi awe anajua kushona na pia kuleta machine yake/zake na kushonea sare ilipo shule. Kwa anayemjua fundi mzuri,tuwasiliane PM.
Back
Top Bottom