Recent content by Namche Bazar

  1. Namche Bazar

    Nimegombana na mtu wangu wa karibu kwa sababu nimemnyima Gheto langu asifanye uzinzi

    Hana hata pesa ya lodge? Mwambie ngono ina gharama kubwa.
  2. Namche Bazar

    Coaster ya school bus inahitajika

    Habari za asubuhi? Natafuta Coaster box body Iwe ya kununua au kukodi kwa mkataba. Kikubwa Coaster iwe na hali nzuri ya body na mashine. Shule ipo Tanga mjini. Tuwasiliane PM.
  3. Namche Bazar

    Jirani yetu wa kike analalamika Wachungaji walikuwa wakimtekenya maziwa walipokuwa wakimuombea

    Wacha washikwe hata Kei zao. Nani kawatuma kwenda kwa wasanii?? Tuko nje ya muda aisee!!
  4. Namche Bazar

    Fundi wa kushona sare za shule

    Aje PM tumalize kazi.
  5. Namche Bazar

    Fundi wa kushona sare za shule

    Habari za Usiku? Natafuta fundi mzuri wa kushona sare za shule ya msingi na chekechea aliyopo Tanga mjini. Fundi awe anajua kushona na pia kuleta machine yake/zake na kushonea sare ilipo shule. Kwa anayemjua fundi mzuri,tuwasiliane PM.
  6. Namche Bazar

    Waziri Juma Aweso tunaomba uitazame na kutuondolea utapeli unaondelea Tanga UWASA

    Wakuu habari za asubuhi? Mwaka 2022 nililipa kuunganishiwa maji kwenye nyumba yangu nilikaa zaidi ya miezi 4 bila kuwekewa huduma niliyolipia hadi ikapelekea kununua vifaa vyote vya kuunganishiwa maji isipokuwa mita pekee ndio nilipewa na Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira(TANGA UWASA)...
  7. Namche Bazar

    Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

    Yaani mtu uwe na pesa na watoto wametoka kwenye kiuno chako uwapeleke Kayumba?? Ni sawa na kusema kulalia mkeka/Jamvi ni sawa na kulalia godoro kwa kigezo wote mnalala na kukoroma/kuj@mb@..!!
  8. Namche Bazar

    Walimu wa primary kazi hiyo!

    Wewe ni mwelewa zaidi..jipigie makofi.
  9. Namche Bazar

    Walimu wa primary kazi hiyo!

    Kazi ya maalumu ya mwanamke ni kubeba ujauzito na kujifungua tu. Kazi nyingine zote ME na KE wanaweza kufanya kwa pamoja. Kazi ni kwako.
  10. Namche Bazar

    Walimu wa primary kazi hiyo!

    Nimeona sehemu hilo tangazo. Vijana jobless changamkieni. Kila la heri.
  11. Namche Bazar

    Natafuta meza na viti (desk)

    Kwa umri wangu sina haja ya kuleta utani kwa watu nisiowajua hapa JF. Naomba unisaidie kunipa quotation ya meza na kiti chake kama unamjua mtaalamu wa hiyo kazi. Tatizo la mafundi wengi wa nchi hii wamejaa kalenda na utapeli yaani hadithi nyingi kuliko maelezo ndio maana napenda imported "pay...
  12. Namche Bazar

    Natafuta meza na viti (desk)

    Fenicha zimepatikana
Back
Top Bottom