Unajua gharama za kuchoma mwili? Mwili hauchomwi kwa pumba za mpunga.
Gharama za kuchoma ni lazima(uniform) sio kuzika ambako hata ukizika kwa mkeka,shuka ni sawa tu sio lazima jeneza la mninga?
Just Google kuona gharama za kuchoma maiti uje hapa usemwe neno.
Kwa vyama vya siasa,Asasi za kiraia zinamiliki majeshi na silaha za kivita?? Na ndio walioua watu?
Kweli wewe ni uharo mtupu no need to waste my time with stupidity.
Na Ile tume iliyoandika watu 518 waliuawa hiyo Oktoba nao ni waongo wanaleta porojo?
Grow up kijana acha uchawa wa kikyum@ hii nchi haitaki akili kama zako..
Miaka kandaa nyuma Polepole alijiona yupo salama ..lakini leo yupo wapi?
Hakuna aliye salama ukweli usemwe tu.
Endelea kukaza fuvu na...
Kuna watu October 29 walipigwa risasi wakiwa kwenye mabanda ya mpira wengine ndani ya nyumba zao..
Hao wote nao wapo kwenye kundi la wahalifu?
Mahakama ni za kazi gani kama watu wanatekwa na kupotezwa kwa kigezo cha wahalifu?
Mleta mada kitie kidole kwenye tupu yako ya nyuma kisha kinuse...
Mzee Warioba anawapelekea moto sana tu.
Watu chupi hazivaliki kila mtu anataka kuwasha mic na kumjibu mzee.
Payukeni tu,yule mzee ni zaidi ya pro max kwenye siasa za nchi hii.
Ndio maana wasomi wengi hupenda ajira za umma(serikali) kwa kuwa ni kusaini na kusepa au kuwepo ofisini na kuchat au kufanya mambo binafsi.
Bongonyoso sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.