Recent content by Namche Bazar

  1. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Unajua gharama za kuchoma mwili? Mwili hauchomwi kwa pumba za mpunga. Gharama za kuchoma ni lazima(uniform) sio kuzika ambako hata ukizika kwa mkeka,shuka ni sawa tu sio lazima jeneza la mninga? Just Google kuona gharama za kuchoma maiti uje hapa usemwe neno.
  2. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    Ni mke wangu huyo.. Nikupe namba yake?
  3. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Usisahau kabla ya kufa waachie ndugu zako pesa ya kuchoma mwili wako. Kuchoma mwili kuna gharama kubwa tofauti na kuchimba shimo na kufukia.
  4. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki.

    Founders wa hiyo dini. Kama nawe unataka kutoa maelekezo yako anzisha dini/kanisa lako.
  5. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wowote kuhusu safari yangu ya muziki, sikutegemea itakua ngumu kiasi hiki

    Kaza kaza kaza Hakuna maisha rahisi kaza.
  6. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Kwa vyama vya siasa,Asasi za kiraia zinamiliki majeshi na silaha za kivita?? Na ndio walioua watu? Kweli wewe ni uharo mtupu no need to waste my time with stupidity.
  7. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Na Ile tume iliyoandika watu 518 waliuawa hiyo Oktoba nao ni waongo wanaleta porojo? Grow up kijana acha uchawa wa kikyum@ hii nchi haitaki akili kama zako.. Miaka kandaa nyuma Polepole alijiona yupo salama ..lakini leo yupo wapi? Hakuna aliye salama ukweli usemwe tu. Endelea kukaza fuvu na...
  8. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Kuna watu October 29 walipigwa risasi wakiwa kwenye mabanda ya mpira wengine ndani ya nyumba zao.. Hao wote nao wapo kwenye kundi la wahalifu? Mahakama ni za kazi gani kama watu wanatekwa na kupotezwa kwa kigezo cha wahalifu? Mleta mada kitie kidole kwenye tupu yako ya nyuma kisha kinuse...
  9. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Mzee Warioba anawapelekea moto sana tu. Watu chupi hazivaliki kila mtu anataka kuwasha mic na kumjibu mzee. Payukeni tu,yule mzee ni zaidi ya pro max kwenye siasa za nchi hii.
  10. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Manka Chuga aliye kuwa akinywa Pombe kama maji aomba msaada

    Kama ni msaada wa kutiwa mimba nipo tayari japo kwa shingo upande.
  11. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Meneja NSSF Kibaha, Pwani, jitafakari kama unafaa kuendelea kuwa ofisini

    Ndio maana wasomi wengi hupenda ajira za umma(serikali) kwa kuwa ni kusaini na kusepa au kuwepo ofisini na kuchat au kufanya mambo binafsi. Bongonyoso sana.
  12. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Mimi siwaoni hao wanawake waomba pesa..))
  13. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Lissu haponi kesi hii

    There is nothing to read for me here. Ujinga sana. Yaani mtu kashiba kande zake huko anakuja kuj@mb@ humu.
  14. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Lissu haponi kesi hii

    There is nothing to read for me here.!!
Back
Top Bottom