Makundi yaliyotoa Wakuu wa Wilaya ni TBC, ITV, AZAM, CLOUDS, Polisi, Jeshini, Bongo Movies, Bongo Fleva, Waunga Mkono Juhudi kutoka Chadema, UVCCM, Ma-Miss, na Wabunge waliokosa majimbo, na Wakuu wa Wilaya waliokuwepo. Ni mchanganyiko mzuri ila sina uhakika kama wote wana fit kuwa wahamasishaji...