makoroboi83
Member
- Feb 18, 2017
- 37
- 23
Kuna mikataba hujui hlo au mmezaliwa kuhojiMkuu hizo sheria za mtu kukuibia hlf na kesi anashinda ni dunia gn?
Kuna mikataba hujui hlo au mmezaliwa kuhojiMkuu hizo sheria za mtu kukuibia hlf na kesi anashinda ni dunia gn?
Ndio maana kesi haiko Kisutu kuna hizo mahakama za kimataifa za migogoro ya kibiashara, wanaangalia mikataba mkuu.Mkuu hizo sheria za mtu kukuibia hlf na kesi anashinda ni dunia gn?
Basi report haina maana. Maana watu wanachotaka kujua ni grade zilizotajwa na tume ni sahihi ama. Tukitoka hapo ndio tuje kwenye mikataba. Nipo tayari kusahihishwaMikataba ni mibovu sana mkuu lkn as if that is not enough bado wanadeclare vitu vya uongo
Ndio maana TMAA ikavunjwaKwa hiyo na data za TMAA huziamini. Au tunaibiwa kwa mikataba mibovu
Hata kama tulisaini. Sheria za mikataba hazitetei wizi au udanganyifu unaojitokeza wakati wa utekelezaji wa mkataba... Rudi, shule kasome upya.. Mitanzania mna vichwa vigumu sana.. Mkataba, mlisaini, hamkusaini? Venuzuela walijipanua panua midomo hivo hivo chavez akapora, makampuni ya, mafuta ya marekani.. Ona kilichofuata mpaka leo
Ni vyema kuweka akiba ya maneno.Mikataba ni mibovu sana mkuu lkn as if that is not enough bado wanadeclare vitu vya uongo
Imevunjwa lini.Ndio maana TMAA ikavunjwa
Kwa kweli findings za kamati zinaleta ukakasi sana. Hivi inawezekanaje mgodi utupe tu nje makinikia bila ulinzi mkali wakati gold bar zinalindwa hatari strong room? Hivi inawezekanaje mgodi usafirishe gold bar 6 kwa ndege halafu makontena yenye dhahabu nyingi yaje kwa barabara tena na driver mmoja tu? Hivi kama huo ndio utajiri wa migodi hiyo. Wao hawapendi kuitwa wazishaji namba moja duniani ili hisa zipande kwenye soko? Hivi hiyo fedha ya ziada wanaificha wapi kwenye akaunti gani ambayo serikali zote haziwezi kuona? Hapa nakubaliana na wengine kuwa kamati imemuingiza kwenye chaka Rais wetu mpendwa. Nashauri awaite mapema wathibitishe hizo data zao kuwa ni kweli, na ikija kuonekana sio kweli wanyongwe. Wamesababishia shida familia nyingi kwa uongo wao, eti tumeibiwa sana. What a hell is that? Prof Mruma is a devil's agent. Ametesa watu wengi sasa wanachunguzwa wakati walitimiza wajibu wao kwa uaminifu mkubwa.Zile sio finding ni ushuzi.. Kuwezi ukabaki na dhahabu nyingi kwenye mabaki kuliko uliyo extract...
Mbaya zaidi wanasheria wetu wa serikali sijiu kama huko mahakamani tutashinda!!!!!Ni mahakama ya dunia ya kimataifa na mikataba ya hovyo tuliyoingia ndio inavyotaka. Tuombe Mungu hili liishe out of International Bussiness Disputes Court..najua tuko sahihi kiasi gani mahakama ya usuluhishi ya kimataifa ndio itajua
Ukifungwa what next?Watalaamu Kutoka Marekani Wanaona Mgodi Unaweza Kufungwa Mtanzania Aliyoko Sikonge eti Tutakoma.
Sikiliza Mkuu, ni wajibu wa serikali kujiridhisha kama kinachouzwa kina reflect makubalino. That's why TMAA ipo na moja ya majukumu yake ni kuhakiki kiwango cha madini kabla ya kusafirishwa concentrates. Ninachoamini tutalazimika kulipa fidia pale itakapobainika kuwa matokeo ya tume ya ukaguzi wa concentrates si sahihi. Vinginevyo Acacia inabidi wawe mapole wakae mezani na kukubaliana upya na serikaliNdio maana kesi haiko Kisutu kuna hizo mahakama za kimataifa za migogoro ya kibiashara, wanaangalia mikataba mkuu.
Hivi umewahi kujiuliza kwanini hiyo mikataba haiwekwi wazi?
Mkuu mimi nimeshaona mtu kaibiwa na bado kalipishwa na akalipa.
Umesahau ESCROW??
Sikiliza Mkuu, ni wajibu wa serikali kujiridhisha kama kinachouzwa kina reflect makubalino. That's why TMAA ipo na moja ya majukumu yake ni kuhakiki kiwango cha madini kabla ya kusafirishwa concentrates. Ninachoamini tutalazimika kulipa fidia pale itakapobainika kuwa matokeo ya tume ya ukaguzi wa concentrates si sahihi. Vinginevyo Acacia inabidi wawe mapole wakae mezani na kukubaliana upya na serikali
Mkuu hizo sheria za mtu kukuibia hlf na kesi anashinda ni dunia gn?
Unakumbuka samaki wa magufuli nini kilitokea?Mkuu hizo sheria za mtu kukuibia hlf na kesi anashinda ni dunia gn?