Recent content by Namavani

  1. Namavani

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    CHASHA FARMING, Hapo nakuunga mkono kabisa, mtaji wa kwanza ni wazo lako na sio pesa kwanza kitu ambacho wengi hawaelewi. Kuna watu wana pesa ila hawajui jinsi ya kuzizalisha (sio kuzitumia). Tengeneza wazo lako vizuri, fanya utafiti wa kibiashara vizuri !
  2. Namavani

    Big up sana kwa Aliexpress (ALIBABA), wanafanya vyema sana katika kuhudumia wateja

    Kaka kama uishawahi wafanya mihamala kutumia ebay naomba msaada km malipo
  3. Namavani

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Jaman mie naomba msaada jinsi ya kuchagua mpunga mzuri...unafanyaje. Nimeasikia wengine wanasema unafikicha mpunga kwenye kiganja...
  4. Namavani

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Ebana hata mm nataka niulize jinsi ya kuchagua mpunga bora ili nipate mchele mzuri. Sijui jinsi ya kufanya...naomba msaada!
  5. Namavani

    Siyaelewi makato ya benki ya CRDB

    Bora MPesa aise....
  6. Namavani

    Tumbo kuunguruma, nini tatizo

    Kaka naomba nami ninasumbuliwa na tumbo hivyo hivyo, naomba unisaidie na jina la hizo dawa tafadhali...
  7. Namavani

    Note to Magufuli John - why does Tanzania lack National Champions?

    That's impressive. Thank you for being a true patriotic tanzanian man...
  8. Namavani

    Mke wa mtu anisumbua mimi nifanyaje?

    By Namavani, mh...ndugu yangu muogope MUNGU usiangalie ya dunia kwani yatakupotosha na kukuangamiza, ukwel haufichic kamwe na ukijulikana elimu yako utaisahamu utaishia jela km babu Sea hivyo usisikilize ya kila mtu wala kufuata hisia zako bali fuata hekima yenye mafundisho yaliyo salama-NENO...
Back
Top Bottom