Nchi ambazo bei ya bidhaa zimepanda sio Ghana au Zimbabwe, zipo nyingi tu bila kusahau kwa wenzetu walioendelea.
Nchini bei a bidhaa sio za juu sana kulinganisha na nchi zingine.
Tukumbuke Covid-19 and Rusia/Ukraine conflict effects dunia kwa sasa kiuchumi na kusababisha inflations kuwa juu...
Tunakukosoa kwa ujinga na uharo huu wa uandishi wako.
ULUSI ndio nini??
TEURE ndio nini??
MIRIPUKO ndio nini??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ana mtaji kweli? Au lawama tu kwa Serikali. Huyo ni sawa na wale jamaa wa nadharia/business modal kibao darasani ila ku-implement theories into practice is miracle.
Umeandika ki-facebook mno. Hariri kwanza ndio uachie uzi. Mbona lawama kwa Serikali?
Lundusi hawajambo au upo Matomondo? Nipo Luhuwiko hapa NFRA natunza nafaka, lete nafaka zako zihifadhiwe uache kuzihifadhi hapo Maposeni.
Wakunyumba acha kulia lia, njoo La Charlez nipo na Mosile Meneja...
Kwetu Arachuga kuna ujinga mwingi. Mleta uzi yuko sahihi. Vijana wa kiume kusuka nywele ndio fasheni. Wanawaza kuolewa na ajuza wa kizungu muda wote. Pombe kali ndio usiseme. Jamii ifanye jambo kuokoa wana Arachuga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.