Kweli mazungumzo mengine yanakera, mtu anaongea nasty mpaka unashangaa, mtu, hakuhusu, mnachat mambo ya kawaida, ghafla anaanza umevaaje, hapo ulipo umekaa na nani, umekaa kwenye kiti au kitandani n.k, sasa ukute huyo mtu ni Mhindi, Mzungu au Mwarabu, utakoma!, wanaongea upuuzi mpaka basi, wengi...