masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,380
- 19,279
aaah kumbe nikajua mkufunzi kafa kumbe ni mama yake..... basi ajiandae kuingia porini
hahhhah porini kufanya nini kama komba
aaah kumbe nikajua mkufunzi kafa kumbe ni mama yake..... basi ajiandae kuingia porini
aaah kumbe nikajua mkufunzi kafa kumbe ni mama yake..... basi ajiandae kuingia porini
hahhhah porini kufanya nini kama komba
Mapenzi bana, kama matairi ya magari, you will never meet, wakati wewe unahangaika upate attention kwake, yeye anahangaika kwa mkufunzi hadi kuzima!
ha ha ha hahah mkome kajizimisha makusudi ili mkufunzi aone kweli amekwama loh.
Wasiwasi wa mapenzi waua
Nina mchumba am aye tunapendana sana .yukochuo kimoja jinini Mbeya cha kushangaza kwao kuliwahi tokea misiba mingi haikuwai tokea Hali hii Jana mama wa mkufunzi wake alifariki wakati wanapeleka mwili kuuhifadhi mchumba Wangu alipo mwangalia mwalimu wake gafla akapoteza fahamu kanipigia cm Yuko hospital .je nijue mini kati ya mchumba Wangu na mwalimu wake au nichukulie kawaida?naomba ushauri
Ni wapi naweza kupata spoke za baisikeli used? Nipo mpiji!
Zipo mwanza zinauzwa moja sh 50000
Sijambo, unajua bila kung'ang'ania hufungi goli?
LOOH MI SITAKI KUFUMANIA
HATA NIKIA,BIWA MUMEO KAINGIA GUEST NAENDA MUWAIT HOME LOL niahafuamniaga zamani huko tena ni kaboyfurend loooh nilitota mijasho kama nasonga ugali