Recent content by Naland

  1. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Sio kwamba wewe huruhusiwi kufanya biashara na urusi, urusi haruhusiwi kufanya biashara na ww, utafanyaje kukwepa vizuizi hivyo?
  2. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Kusema Tanzania haina vikwazo, ni dhahiri hajaelewa swali... President alidhani muuliza swali anamaanisha Tanzania inavikwazo vya kibiashara na urusi
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mourinho, nakushauri uitengeneze hivi Real Madrid

    Mbape akibaki hawaji chukua kombe lolote, dogo ana mikosi, wamuuze tu
  4. N

    JamiiForums Tanzania Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

    Vp wale wa kuibeba timu yake, atawafanyaje?
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bora niwe single maisha yangu yote

    Poleni vijana wa sasa, maana wanawake Kwa sasa hawapo.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Maeneo haya kampeni ya afya ya kinywa ikafanyike sana, hali ni mbaya

    Kuna dawa inasemekana haziondoa harufu mdomoni, pendekezeni na dawa nzuri za kutumia. Kuna dawa ya meno inaitwa eternal, hii ni kiboko, hapa tunasaidiana siipigii promo dawa
  7. N

    JamiiForums Tanzania Vyovyote vile, yakitokea Mabadiliko nchini, hatuna budi kuziunda upya Taasisi zifuatazo ili kuliokoa Taifa na Watu wake

    Hapo TAKUKURU isiwepo kabisa, Kwa hali ilivyo nchini uwepo wake hauna maana
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tuiombee mungu Taifa stars,i vuke salama dhidi ya Morocco! Majirani wanatunanga kweli

    Kila kitu anasifiwa yeye, bora tupigwe tu!
  9. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Espérance de Tunis kutoa 2.4 billion Kwa mzize

    Samani= thamani. Kiswahili jamani nacho kinatushinda
  10. N

    JamiiForums Tanzania Jasmine Razack: Yanga wana Roho mbaya, wamegoma kumuuza Mzize, wanataka dola Million moja

    Mteja unapangeje bei?! Bei napanga Mimi mwenye mali!
  11. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kikao cha wanaume tu: Ungefanyaje kwenye hali kama hii?

    Weka kikao na huyo mama tapeli, akueleze Kwa nini ameandika jina la mtoto ambalo si lako
  12. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maelfu ya vijana waandamana wakiwa wamebeba jeneza la Marehemu Albert Ojwang na kisha kuvamia na kuchoma kituo cha Polisi

    Polisi hawaruhusiwi kupiga risasi raia
  13. N

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia: Wakuu wa mikoa mshirikiane na chama kipindi cha Uchaguzi

    Uzuri ni Kwamba wapiga kura hawapo humu! Mkuu wa nchi amedhihirisha kuwa kupiga kura hakuna maana yoyote. Wakuu wa mikoa, polisi washirikiane na 'chama' kipindi cha uchaguzi. Mnaona wapiga kura?!
  14. N

    JamiiForums Tanzania Andiko la kwanza la Ahmed Ally baada ya Simba kufugwa, hata Madrid amefungwa EL CLASSICO 4 mfululizo

    Nmepata msiba mzito, mnahitaji faraja. Naona mnatafuta faraja Spain na uingereza, poleni
Back
Top Bottom