Recent content by Naland

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kipanya ana maana gani hapa?

    Kwamba, na huyo hawako pamoja! Kazi ipo
  2. N

    JamiiForums Tanzania Saratani ya tezi dume(prostate cancer) ugonjwa hatari zaidi kwa wanaume usiochukuliwa hatua zaidi

    Dactari hujasema saratan ya tezi dume inasababishwa na nn
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nchimbi resignation and the reality

    The one resigning was a reformist, and the woman above didn't want that!
  4. N

    JamiiForums Tanzania Panya wanalimaliza Godoro wanatafuna saaaaana

    Nusu ya godoro limeliwa! Tutaanza kulalia chaga
  5. N

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Hakika! Na huyo wamteke, wampige na kumtupa mabwepande, ili taifa liendelee kupata laana ya milele
  6. N

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kuagiza mafuta ya kula nje ya nchi ikiwa tuna uwezo wa kuzalisha mafuta nchini?

    Ivi, kiswahili kimekaaje hapa? Ni mafuta ya kula au kupikia?!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDSM Dkt Ibrahimu Nzima: Kidato cha 6 wanaojiunga vyuo uwezo wao wa kuchambua mambo umeshuka

    Mambo yaliyo bainishwa na mhadhiri huyo ni kweli kabisa; 1. Uwezo mdogo wa kuchambua mambo 2. Ukosefu wa nidhamu na maadili 3. Uelewa hafifu wa lugha rasmi Haya ni mambo ya msingi kabisa ambayo Kila mhitimu wa kidato cha sita anapaswa kuwa mahiri nayo Kwa mfano, uwezo mdogo wa kuchambua mambo...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makocha wote waliowahi kubeba kombe la dunia kuanzia lilipoanzishwa mwaka 1930 hadi mwaka 2026

    Iv, Kwa mfano uingereza ingekutana na ujeruman wc final 2026, ingekuwaje, maana makocha wa mataifa hayo ni wajerumani
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mnataka Tuoe? Sasa ili Raisi wa Chama cha Wakataa Ndoa nipeleke NEC muswada wa kuvunja Chama cha Wakataa Ndoa naomba haya yafanyike ....

    Majukumu ya wanandoa yaanishwe, atakaye kiuka twende mahakama ya ndoa
  10. N

    JamiiForums Tanzania Akili inaniambia Mwana FA hajafanya kwa bahati mbaya vile.

    Ya! That's the way it is!
  11. N

    JamiiForums Tanzania Kidato cha 6 wakamatwa wakitumia ChatGPT, NECTA yawafutia matokeo

    Right! My son!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Jaji Masaju: Kama hatutaki kuingiliwa na Wanasiasa, Sisi wenyewe ndani ya Mahakama tuwe Wasafi

    Kwani, pale alipo amewekwa na nani? Hilo tu litoshe kusema 'anacho zungumza ni hadaa'
Back
Top Bottom