Mambo yaliyo bainishwa na mhadhiri huyo ni kweli kabisa;
1. Uwezo mdogo wa kuchambua mambo
2. Ukosefu wa nidhamu na maadili
3. Uelewa hafifu wa lugha rasmi
Haya ni mambo ya msingi kabisa ambayo Kila mhitimu wa kidato cha sita anapaswa kuwa mahiri nayo
Kwa mfano, uwezo mdogo wa kuchambua mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.