Recent content by Naland

  1. N

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kuagiza mafuta ya kula nje ya nchi ikiwa tuna uwezo wa kuzalisha mafuta nchini?

    Ivi, kiswahili kimekaaje hapa? Ni mafuta ya kula au kupikia?!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDSM Dkt Ibrahimu Nzima: Kidato cha 6 wanaojiunga vyuo uwezo wao wa kuchambua mambo umeshuka

    Mambo yaliyo bainishwa na mhadhiri huyo ni kweli kabisa; 1. Uwezo mdogo wa kuchambua mambo 2. Ukosefu wa nidhamu na maadili 3. Uelewa hafifu wa lugha rasmi Haya ni mambo ya msingi kabisa ambayo Kila mhitimu wa kidato cha sita anapaswa kuwa mahiri nayo Kwa mfano, uwezo mdogo wa kuchambua mambo...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makocha wote waliowahi kubeba kombe la dunia kuanzia lilipoanzishwa mwaka 1930 hadi mwaka 2026

    Iv, Kwa mfano uingereza ingekutana na ujeruman wc final 2026, ingekuwaje, maana makocha wa mataifa hayo ni wajerumani
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mnataka Tuoe? Sasa ili Raisi wa Chama cha Wakataa Ndoa nipeleke NEC muswada wa kuvunja Chama cha Wakataa Ndoa naomba haya yafanyike ....

    Majukumu ya wanandoa yaanishwe, atakaye kiuka twende mahakama ya ndoa
  5. N

    JamiiForums Tanzania Akili inaniambia Mwana FA hajafanya kwa bahati mbaya vile.

    Ya! That's the way it is!
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kidato cha 6 wakamatwa wakitumia ChatGPT, NECTA yawafutia matokeo

    Right! My son!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Jaji Masaju: Kama hatutaki kuingiliwa na Wanasiasa, Sisi wenyewe ndani ya Mahakama tuwe Wasafi

    Kwani, pale alipo amewekwa na nani? Hilo tu litoshe kusema 'anacho zungumza ni hadaa'
  8. N

    JamiiForums Tanzania Mchezaji wa JKT aliyemfanyia Faulo mbaya Pacome afika hospital na kumfanyia dua

    Hapo namuona Aziz k ama siye?
  9. N

    JamiiForums Tanzania MAREKANI: Urusi imefungiwa na Marekani kucheza Kombe la Dunia?

    Marekani kavamia Iran, hajafungiwa! Ama utofauti uko wap kati ya Russia kuvamia Ukraine na USA kuvamia Iran?
  10. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Akiba yetu ya dhahabu ni tani 27.5 yenye thamani ya Trilioni 10. Hapa tulipofika si haba

    Amezeeka mama wa watu, msameheni
  11. N

    JamiiForums Tanzania Upi ni mtizamo wako kuhusu ndoa?

    Ndoa ni mahakama ya rufan
Back
Top Bottom