Recent content by Naland

  1. N

    Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

    Vp wale wa kuibeba timu yake, atawafanyaje?
  2. N

    Bora niwe single maisha yangu yote

    Poleni vijana wa sasa, maana wanawake Kwa sasa hawapo.
  3. N

    Maeneo haya kampeni ya afya ya kinywa ikafanyike sana, hali ni mbaya

    Kuna dawa inasemekana haziondoa harufu mdomoni, pendekezeni na dawa nzuri za kutumia. Kuna dawa ya meno inaitwa eternal, hii ni kiboko, hapa tunasaidiana siipigii promo dawa
  4. N

    Vyovyote vile, yakitokea Mabadiliko nchini, hatuna budi kuziunda upya Taasisi zifuatazo ili kuliokoa Taifa na Watu wake

    Hapo TAKUKURU isiwepo kabisa, Kwa hali ilivyo nchini uwepo wake hauna maana
  5. N

    Tuiombee mungu Taifa stars,i vuke salama dhidi ya Morocco! Majirani wanatunanga kweli

    Kila kitu anasifiwa yeye, bora tupigwe tu!
  6. N

    Tetesi: Espérance de Tunis kutoa 2.4 billion Kwa mzize

    Samani= thamani. Kiswahili jamani nacho kinatushinda
  7. N

    Jasmine Razack: Yanga wana Roho mbaya, wamegoma kumuuza Mzize, wanataka dola Million moja

    Mteja unapangeje bei?! Bei napanga Mimi mwenye mali!
  8. N

    Kikao cha wanaume tu: Ungefanyaje kwenye hali kama hii?

    Weka kikao na huyo mama tapeli, akueleze Kwa nini ameandika jina la mtoto ambalo si lako
  9. N

    Raisi Samia: Wakuu wa mikoa mshirikiane na chama kipindi cha Uchaguzi

    Uzuri ni Kwamba wapiga kura hawapo humu! Mkuu wa nchi amedhihirisha kuwa kupiga kura hakuna maana yoyote. Wakuu wa mikoa, polisi washirikiane na 'chama' kipindi cha uchaguzi. Mnaona wapiga kura?!
  10. N

    Andiko la kwanza la Ahmed Ally baada ya Simba kufugwa, hata Madrid amefungwa EL CLASSICO 4 mfululizo

    Nmepata msiba mzito, mnahitaji faraja. Naona mnatafuta faraja Spain na uingereza, poleni
  11. N

    Mechi ya Yanga dhidi ya Simba, June 25 kuchezeshwa na Waamuzi kutoka Misri

    Hivi, Kuna watu wataingia uwanjani?! Kweli sisi ni mazombie
  12. N

    Kauli za mkuu wa nchi zinachangia na kuimaliza kabisa serikali ya CCM

    ''mbunge wenu ni kama mwanamke aliye suka nywele!''😂
Back
Top Bottom