Kuna dawa inasemekana haziondoa harufu mdomoni, pendekezeni na dawa nzuri za kutumia. Kuna dawa ya meno inaitwa eternal, hii ni kiboko, hapa tunasaidiana siipigii promo dawa
Uzuri ni Kwamba wapiga kura hawapo humu! Mkuu wa nchi amedhihirisha kuwa kupiga kura hakuna maana yoyote. Wakuu wa mikoa, polisi washirikiane na 'chama' kipindi cha uchaguzi. Mnaona wapiga kura?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.