Recent content by nakufunza

  1. nakufunza

    DRC: Wanajeshi wa Kenya wamewasili DRC huku waasi wakikaribia Goma

    Wakenya wameyasahau ya Al-Shabab yaliyotokea Westgate? Nahofia M23 wasije wakaamua kupanga kujilipua nda ya Kenya.
  2. nakufunza

    Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

    Ilala iko vizuri, Maeneo kama Kinyerezi kwa upande wangu yametulia sana.
  3. nakufunza

    Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

    Kitu hicho US na Washirika wake hawawezi kufanya kwa sababu wanafahamu Madhara yatakayokuja kutokea. Inaweza ikapelekea Third World War
  4. nakufunza

    Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

    Vita kama hii ni ngumu kwa putin kutumia uwezo wake wote. Hii Vita doesn't cover large area of world. Kwahiyo ni vita ya kudhoofishana kiuchumi kati ya Putin na NATO.
  5. nakufunza

    Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

    Uzuri wa Waalimu wakistaafu wanachukua pensheni zao za NSSF mahela kama yote. Boda boda akifikia uzee anakuwa na srress nyingi maisha Magumu. Pia tukumbuke huyu bodaboda mnayemzungumzia anapopata hizo ela sijui kwa mwezi inabidi itumike kwa mambo kama -kufanyia Service pikipiki Ikiharibika...
  6. nakufunza

    Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

    Kama kuna Mataifa yana upinzani, basi jua kuwa kila taifa litakuwa na project zake za silaha hatari na Modern. Kuhusu kuzitumia kwenye uwanja wa vita basi ni technic watumie wapi!!! na muda gani!!!
  7. nakufunza

    Nimekumbuka kitu leo, mabinti wa kichagga wagumu mno kukubali ila wakishakukubali utaenjoy

    Yani umkute. bikra alafu hapohapo anakupa miuno feni. Acha kutupiga Kamba. Bikra yoyote yule anakuwa mshambamshamba anakusikilizia wewe uitoe huku yeye akiwa na aibu na vimaumivu kwa mbali na anakuwa gogo. Hata mitindo ni ngumu kukuwekea, labda umuelekeze.
  8. nakufunza

    Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

    Kukataa kwao Iran na North Korea kwamba hawajapeleka Silaha kwa Urusi, hiyo pia ni moja ya Technic na ujanja katika tasnia ya Vita halisi pamoja na vita ya Maneno. Na kutangaza kama anavyotangaza USA hiyo nayo ni Technic yake. Chamsingi ni kuangalia wenye technic gani watashinda.
  9. nakufunza

    Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

    USA na NATO hawajaingia front kwa vita bali ni kupeleka silaha tu, na hicho kitu alishakisema USA tangu mwanzo kwahiyo kinafahamika. Putin aliposema atakayeingilia atakipata cha Moto inamaana kupeleka jeshi front ambalo si la WaUkraine.
  10. nakufunza

    Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

    Kuna siri zinzofanywa na Mataifa ya Kikomunisti, na likija la kutokea Madhara yatakuwa Makubwa na hatimaye U.S.A atashindwa. Hizo ni Technic za Kikomunisti. USA anaongea na kutangaza sana, ila kimyakimya washirika wenzake NATO wanampinga hawapendi anachofanya kwa ukimbelembele wake. Kila kitu...
  11. nakufunza

    Nimekumbuka kitu leo, mabinti wa kichagga wagumu mno kukubali ila wakishakukubali utaenjoy

    Nimewahi kukutana nao kwenye sita kwa sita ukiona hivyo. Tena huyu anasema ni yule demu wa kichaga anayeishi bush, yani ndio kabisaaa gogo. Bora wachaga wa hapa Dar ni miuno feni.
  12. nakufunza

    Nimekumbuka kitu leo, mabinti wa kichagga wagumu mno kukubali ila wakishakukubali utaenjoy

    Mwanamke wa Kichaga na Mauno wapi na wapi? Mauno yake yeye ni kutaka Pesa tu. Ila kitandani ni Gogo.
Back
Top Bottom