Recent content by Nakafwelelema

  1. N

    Je, kuna umuhimu wa kujua mpenzi wako alishakuwa na wapenzi wangapi kabla ya ndoa?

    tafadhali weka mapenzi kwa mwenzi Wako MBELE. ukianza kungalia ulipojikwaa na kuanguka furaha itapotea. songa mbele
  2. N

    Ninapenda wanaume wanaojali usafi wa mwili na kinywa

    umeongea jambo la maana. kama unampenda muelimishe namna ww unavyotaka
  3. N

    Heshima kwa wanaume wanaotimiza majukumu yao

    inatia moyo kama nanyi mnakuliana nahuduma hiyo.nikigundua anaikubali huduma yangu ....atapata mapenzi ya kufa mtu yaani ..nairefusha 100%
  4. N

    Nilichogundua kuhusu Arusha

    ulichoongea ni cha msingi sana.kwakweli mkurugenzi na madiwani wana kazi ya ziada kuujenga mji huu.ilinishangaza sana walipokuwa wanajenga stand hapo nyuma waliiacha lile jengo la..katikati kwa plan ipi.
  5. N

    Mke wangu ana sura mbaya

    mke ulimchagua mwenyewe !! iweje leo awe mbaya.?? hujatulia........
Back
Top Bottom