Wakuu, mrejesho huu!!
Kumbe kashemej kangu kuleta vizaazaa kalikua na MIMBA kameibebea Moshi, tushakatimua km kamwizi japo siishi tena na ndugu zangu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman kero kwa Kufanyia vikao vya vikoba vyenu ktk nyumba na mnazagaa ua mzima turukane rukane wakat wengine hayo hatuna. Kero
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni saana mliotupwa jalalani ht vyooni na hao Malaika Wanawake japo mmeish kwa mapenzi ya Mungu!! Wanatuzaa Mara nyingi bila mipangilio halafu wanalaumu Wanaume kuwatelekeza nyooohh
*BREAKING NEWS*
AIR TANZANIA na ETHIOPIAN AIRLINES wanatarajia kufanya mafunzo ya muda mfupi na ya bei nafuu kwa wachezaji na viongozi wa timu ya SIMBA ili kuwaelekeza namna ya kuingia kwenye ndege, kukaa kwenye viti na sehemu ya kuweka handluggage. Pia watafundishwa namna ya kuacha tabia zao...
NIMELETA MADA ZISIZOHUSU MAMA,BIBI,DADA, NK ILA NYIE MAPAKA SHUME TUNAOKUTANA UKUBWANI OK YOTE SAWA HATA HAO WALITOKA UBAVUN KWANG NA DUME REAL HALIKUZALIWA NA MWANAMKE!! KWAN HAO WANAWAKE MNAOWATAJA HAWANA MABWANA NA WAUME!? KM NI MAMA ANAZINGUA KWA DING ACHA AKEMEWEEE!!!
Wadau,
Wa kiumeni habarini na mfungo bila kusahau mitihani na majaribio katika wakati huu wa Toba,
Kwanza kuna hii mada katika hoja nilipokua shuleni" Girls are all sources of evils under the sun" kubali au kataa.
Kwani Mungu alipomuumba mwanaume pekee na baadae kumtoa mwanamke mbavuni kwetu...
Mashtaka mashtaka yaaan mwenzenu pamoja na udume wangu natamaan nitoroke nyumba!!
Mama ananishtakia mdogo wa kike anasumbua saana akiwa anaongea na simu za mabwana zake anajihisi yupo na bint mwenzie wakiwa wawili!!
Naona kanaleta za kutaka kumdharau Maza sjui nikafyatue karud kwao!? Au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.