NajuaKusoma
Member
- May 8, 2017
- 81
- 60
Wadau,
Wa kiumeni habarini na mfungo bila kusahau mitihani na majaribio katika wakati huu wa Toba,
Kwanza kuna hii mada katika hoja nilipokua shuleni" Girls are all sources of evils under the sun" kubali au kataa.
Kwani Mungu alipomuumba mwanaume pekee na baadae kumtoa mwanamke mbavuni kwetu, je alihisi uvivu kwa kua hakuuona umuhimu wa mwanamke na akamleta kua mtihani uliotushinda mpaka tunafukuzwa bustanini na kuanza kwa msoto wa kifo kisa ushawishi wake kula tunda.
Wanaume wenzangu tena nyie wasomi kujeni hapa tuwajadili hawa viumbe na kero zao na je wasingekuwepo leo hii dunia ingelikuaje yaani.
Kina dada chonde chonde msivae minguo yenu mnayoonyesha miili ndani na mnakuja madukani kwetu tuwahudumie.
Wa kiumeni habarini na mfungo bila kusahau mitihani na majaribio katika wakati huu wa Toba,
Kwanza kuna hii mada katika hoja nilipokua shuleni" Girls are all sources of evils under the sun" kubali au kataa.
Kwani Mungu alipomuumba mwanaume pekee na baadae kumtoa mwanamke mbavuni kwetu, je alihisi uvivu kwa kua hakuuona umuhimu wa mwanamke na akamleta kua mtihani uliotushinda mpaka tunafukuzwa bustanini na kuanza kwa msoto wa kifo kisa ushawishi wake kula tunda.
Wanaume wenzangu tena nyie wasomi kujeni hapa tuwajadili hawa viumbe na kero zao na je wasingekuwepo leo hii dunia ingelikuaje yaani.
Kina dada chonde chonde msivae minguo yenu mnayoonyesha miili ndani na mnakuja madukani kwetu tuwahudumie.