Hivi Tz hatuna watawala.! Mambo yanayoendelea ya uvunjifu wa maadili yamezidi. Ningepewa urais japo wa siku moja ningefanya jambo. Tanzania nakuhurumia...
Nchi ikipuuza tu ELIMU. Au kutoa elimu isiyo sahihi matokeo yake ndo haya. Hili tunalo.. naona bora serikali isimamishe yote iwekeze KIUKWELI kwenye ELIMU.
Bila hivyo.. mtaniambia.
Watu wanajua mambo mengi sana. Mnayaficha kichwani tu. Likizuka jambo ndo mwayatoa... kukiwa tulivu ina maana mtakufa nayo.
Naomba lizuke jingine tupakue mengine.
Huyo ndugu aliyeko Rusumo ametoa taarifa muhimu sana. Sasa mbona post yake mmeifuta? Au kwavile inasema ukweli unaoiumbua sirikali ya Tz..! Kasema awali road toll kwa magari ya kirwanda yanayoingua Tz yalitozwa dola 500 (Rusumo-Dar-Rusumo). Kagame alipopandisha wamekubali kushusha mpaka dola...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.