Recent content by nailand

  1. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mie mwenyewe nimejiuliza kama wewe nkaona tu ni marks za kubumba izi kwamba kuna kuchagua alipata nusu
  2. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna mtu namsadia kuomba kazi apa ila kila nkiweka namba yake ya nida wananambia ishatumika je nifanyeje
  3. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ii si ndo walishaongelea sana umu wakimanisha umefeli oral
  4. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    🤣🤣🤣 we jamaa upo seriously kweli
  5. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ivi mtu ukifanya usahili wa tutorial assistant unaweza pata kazi kupitia database kama ulikosa ile ya tutorial assistant
  6. N

    Msaada wadau kuomba mkopo HESLB

    Uenda ile verification number ndo inatumika
  7. N

    Msaada wadau kuomba mkopo HESLB

    Basi sawa maana mpaka naenda kwa mwanasheria alinilazimisha nicertify cheti cha mzamini ila mpaka nafika mwisho sijaona nikaona nisisubmit kwanza
  8. N

    Msaada wadau kuomba mkopo HESLB

    Naomba kuuliza ivi cheti cha kuzaliwa na cheti cha mdhamini unaviapload wap
Back
Top Bottom