udom wanatoa inclusive education..
specialization haipo..
wapo general..
saut tabora wanatoa special ed. ila sijajua ubora wao..
Sekomu wamejiimarisha zaid hasa kwa speciality mbili (hearing imparement na visual) hasa practically..
watu Wa HI kwa Mfano; audiology wapo vizuri sana pale...
mkuu sodium; hebu jaribu kupitia hata post yake uone akili ya mweka post.
anashindwa hata kuandika kiswahili kilichonyooka..
aliwahi kuja na post kadhaa hapa ikiwemo ya leakage ya mitihani.
anafatwa atoe ushahidi anadai Kuna Mtu anatumia ID yake;; tukaamua kumwacha Ili ajifunze lkn still...
mtadanganya sana lkn ukweli utajulikana October.
nimeongea na viongozi wangu Wa chama Lushoto akiwemo katibu Wa jimbo la Lushoto ulolisemea na katibu Wa Bavicha mkoa Wa tanga ndugu germano mbelwa anasema hajaona Hata alama ya Act.
hajwahi kuwa kiongozi ila aligombea ukatibu Wa Bavicha akapigwa chin na Kamanda mengine ambaye wanachama waliona anatosha.
MKT Wa wilaya anaitwa singano; katibu ni abdala; katibu Bavicha ni mgani; mwenyekiti jimbo ni Mtoi; katibu jimbo ni mbelwa.
hiyo ni safu ilotoka madarakani.
aje ataje...
Mimi ni mwenyekiti Wa chaso sekomu na mwenyekiti Wa kamati ya hamasa na mikutano lushoto.
jina Philip lulinda ni geni kwangu na napenda niwaarifu wadau hapa jf kuwa ndugu yangu kapotosha umma.
kwanza zoezi LA Chadema ni msingi hatukuwa na Kamanda mwenye jina hilo kama mwenyewe anavojiita...
Mimi ni mwenyekiti Wa chaso sekomu na mwenyekiti Wa kamati ya hamasa na mikutano lushoto.
jina Philip lulinda ni geni kwangu na napenda niwaarifu wadau hapa jf kuwa ndugu yangu kapotosha umma.
kwanza zoezi LA Chadema ni msingi hatukuwa na Kamanda mwenye jina hilo kama mwenyewe anavojiita...
Kweli ww mwana mtoka pabaya... Mtwra hatuna ukanda bt tunataka raslimali iliyopo itunufaishe kwanza ss km wenyeji wa mradi.. Gesi kutoka kwa mabavu si uungwana hata kidogo.. Siku mamayako mzazi akibakwa na jwtz wa pinda utajutia hiyo kauli yako
Kama ilivyo ada kwa serikali ya CCM kufumbia macho maslahi ya umma na kuwabeba wawekezaji huku raia wakiachwa na athari za uchimbaji madini tanzania, UCHIMBAJI UNAOTARAJIWA KUANZA HIVI KARIBUNI WA MADINI YA BAUXITE KIJIJI CHA MAGAMBA WILAYA YA LUSHOTO HALI IMETAJWA KUWA TETE..
hali hiyo...
kiukweli serikali yetu ni kaidi sana na haipo kwa maslahi ya wananchi.. kwa wanamtwarar hii ni changamoto kwetu kuona ni jinsi gani serikali tuyloichagua kwa miaka 52 inavyotudharau..
nitoe wito kwa wanamtwara kumpokea kwa kishindi kikuu mh. LEMA km unavyotuomba akija
Kama ilivyo ada kwa serikali ya CCM kufumbia macho maslahi ya umma na kuwabeba wawekezaji huku raia wakiachwa na athari za uchimbaji madini Tanzania, UCHIMBAJI UNAOTARAJIWA KUANZA HIVI KARIBUNI WA MADINI YA BAUXITE KIJIJI CHA MAGAMBA WILAYA YA LUSHOTO HALI IMETAJWA KUWA TETE.
Hali hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.