Recent content by NAFTAL DANIEL

  1. N

    ,,,,,,, kampeni zikiwa zinaendelea ,swali gumu kwa wagombea urais nchini kenya

    Kampeni za Uchaguzi nchini KENYA zimepamba moto moja ya maswali muhimu na magumu yanayomwandama Mmoja ya ,Wagombea URAIS Mh,UHURU KENYATA ( Ambaye ni mtoto wa Rais wa zamani wa kenya Mh, JOMMO KENYATA) ni kwamba awaambie wa Kenya "UHURU - (Minus) jina la baba yake ni nani? ndani ya Kenya? na...
  2. N

    Tundu Lissu anaivuruga CHADEMA, naomba achunguzwe

    hahahaahhahah!!!!! Ungemsifia labda ndo tungemchunguza
  3. N

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    Hawa watu wanalindwa na serikali huwezi kuongea maneno kama hayo alafu ukabakia huru kwenye nchi yenye utawala wa sheria
  4. N

    Hawa ni wahuni ndani ya CHADEMA - Na Evarist Chahali

    CHADEMA DHIBITI WAHUNI HAWA-BY EVARIST CHAHALI,USKOCHI NIANZE makala haya kwa salamu za Heri ya Krismasi (ambayo ilikuwa jana) na Mwaka Mpya tunaotarajia kuuona Jumanne ijayo. Pia ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwenu wasomaji wa safu hii (na nyinginezo katika jarida hili...
  5. N

    Hawa ni wahuni ndani ya CHADEMA - Na Evarist Chahali

    "" Wahuni" naam;hilo ndo jina sahihi ambalo mimi ninalichagua kwa baadhi ya vijana wasio na nidhamu kwa Chadema na baadhi ya viongozi wake wanaoongoza harakati za kukikongoroa chama hicho kwa kigezo cha kudai demokrasia, wanapaswa kukumbuka kuwa Mwangosi alikufa kwa kuuawa kinyama na...
  6. N

    Lema: Sikuogopa nilipoona mwanajeshi anapiga picha na mimi

    lema is back!!!!!!!!!!!!!!!!
  7. N

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    mambo ya viapo hayo! Endeleeni kutumikia, but nawashauri muanze kutoa hizi tuhuma majukwaani ili kuzifikisha kwa watu wengi zaid,nendeni kibaha,mbozi,hata kigoma mkiwa mmevaa kombat then mkirud msisahau kutupa mrejesho.
  8. N

    John Heche akiri CHADEMA imeandaa mkakati wa kumpeleka Dr. Slaa ikulu 2015... Shame!!!

    "... Lengo hapa lilikua kumtenganisha mwenyekiti na Katibu mkuu ili kundi liweze kuimarika na kupenya kati kati.Hapa ndipo kazi ambayo ilikua imekwisha anza mwezi wa 4 katika kampeni za Arumeru Mashariki ya kumchafua Mbowe na Katibu mkuu kwa kutumia ID ya TUNTEMEKE iliposhamiri..Akina...
  9. N

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    hawa clouds nionachowaonea huruma ni kwamba wanapambana na nguvu kubwa ya umma kwani kipindi cha kampeni 2010 walimtukana sana joseph mbilinyi"sugu" na kuapa hata shinda ndo kwanza akashinda kwa kisjhindo kikubwa sana ! Kwa kura mara mbili ya ailizopata mbunge wa ccm. The same to john mnyika...
  10. N

    Sumu ya Saanene - swali kwa MASALIA a.k.a PM-7

    lakini yeye ben hakula kiapo
  11. N

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    mambo ya viapo hayo ,kumbe tunapambana na watu waliokula viapo kwa waganga, asante mungu kwa kutufungua hatubishani nanyie tenaaaa! Coz sie hatukula viapo.
  12. N

    NAPE ajibu hoja ya Kudhoofishwa kwa Dr. Slaa...

    nepi hajielewi,ndo mana siku hizi anapewa posho na bashe.
Back
Top Bottom