Kampeni za Uchaguzi nchini KENYA zimepamba moto moja ya maswali muhimu na magumu yanayomwandama Mmoja ya ,Wagombea URAIS Mh,UHURU KENYATA ( Ambaye ni mtoto wa Rais wa zamani wa kenya Mh, JOMMO KENYATA) ni kwamba awaambie wa Kenya "UHURU - (Minus) jina la baba yake ni nani? ndani ya Kenya? na...
CHADEMA DHIBITI WAHUNI HAWA-BY EVARIST CHAHALI,USKOCHI
NIANZE makala haya kwa salamu za Heri ya Krismasi (ambayo ilikuwa jana) na Mwaka Mpya tunaotarajia kuuona Jumanne ijayo. Pia ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwenu wasomaji wa safu hii (na nyinginezo katika jarida hili...
"" Wahuni" naam;hilo ndo jina sahihi ambalo mimi ninalichagua kwa baadhi ya vijana wasio na nidhamu kwa Chadema na baadhi ya viongozi wake wanaoongoza harakati za kukikongoroa chama hicho kwa kigezo cha kudai demokrasia, wanapaswa kukumbuka kuwa Mwangosi alikufa kwa kuuawa kinyama na...
mambo ya viapo hayo! Endeleeni kutumikia, but nawashauri muanze kutoa hizi tuhuma majukwaani ili kuzifikisha kwa watu wengi zaid,nendeni kibaha,mbozi,hata kigoma mkiwa mmevaa kombat then mkirud msisahau kutupa mrejesho.
"... Lengo hapa lilikua kumtenganisha mwenyekiti na Katibu mkuu ili kundi liweze kuimarika na kupenya kati kati.Hapa ndipo kazi ambayo ilikua imekwisha anza mwezi wa 4 katika kampeni za Arumeru Mashariki ya kumchafua Mbowe na Katibu mkuu kwa kutumia ID ya TUNTEMEKE iliposhamiri..Akina...
hawa clouds nionachowaonea huruma ni kwamba wanapambana na nguvu kubwa ya umma kwani kipindi cha kampeni 2010 walimtukana sana joseph mbilinyi"sugu" na kuapa hata shinda ndo kwanza akashinda kwa kisjhindo kikubwa sana ! Kwa kura mara mbili ya ailizopata mbunge wa ccm. The same to john mnyika...
mambo ya viapo hayo ,kumbe tunapambana na watu waliokula viapo kwa waganga, asante mungu kwa kutufungua hatubishani nanyie tenaaaa! Coz sie hatukula viapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.