hapo ndipo unatakiwa kujua usimwamini mwanamke kwa maneno pale anapohisi una future nzuri yani mambo yakikwendea mrama ndo unajua ulipata mke bora au malaya tu anaejalikujali ukiwa na pesa, unafiki wa wanawake wa leo ni shida. ovyo kabsa
mtoa mada uelewa wako nahisi ni mdgo kuhusu masuala ya kidiplomasia. mbona hutetei kura za wananchi, Ecowas haiendi kuvamia kwa lengo baya bali inaenda kumtoa ikulu m2 aliekataliwa na wananchi wake kupitia box la kura.
yan wewe miss natafuta nilkuwa nafikiri unajielewa kumbe fala tena usie na huruma hata kidgo. mwanamke mwenzako analetewa wanawake mpk kwenye kitanda chake we unamuona mjinga. Ni mwanamke gani humu asiependa kupendwa kwenye ndoa hata kutambulishwa tu kwa marafiki au kutoka out pamoja na mme wake...
ni ngum kuamin but nilidanganywa ivo na mtoto wa kike ambao sitokuja kusahau ilimladi tu apige mzinga wa kutosha nilituma nauli ya wa2 wawili na ya rafiki ake ambae aliniambia atamsindikiza kutoka mwanza kwenda tanga. kiroho safi nilimpotzea badae alirudi na please mingi mingi.
mi nilijuana na dem mmoja kwao ni mwanza baada ya kuendelea nae kwnye mahusiano siku moja alinidanganya mama ake amefariki akaniomba nimtumie pesa kwmba watasafirisha kwenda kuzika Tanga nikamtumia nauli na hela zingne. yan nilikuja kuambiwa na rfk ake wa karbu yupo mwnz anakula life hajafiwa...
kuna wa2 hum huwa wanajiona miungu wa2 humu jf, cjui wanajifanya wao huwa hawakosei, binti wa watu anashida majitu mengne yanatafuta uandishi bora. pum.bavu kabsa Nyani n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.