Catherine Ruge atema Cheche Bungeni tangu achaguliwe

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
18403328_1433578440037031_660867790085401118_n.jpg

Leo Tarehe 12/05/2017..kwa Mara ya kwanza nimepata nafasi ya kuchangia kwenye bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji. Nimegusia sehemu kubwa ya Wilaya ya Serengeti na kwa namna palivyo na uhaba wa upatikanaji maji hasa kwa Mji wa Mugumu na kata zake 7.

Lakini pia kwa eneo lote la Wilaya ya Serengeti kwa ujumla.

Nimesikitishwa kuona kwamba Serikali imetenga kiasi cha Tsh 850,000,000 pekee kwa bajeti ya mwaka 2017-2018 kwa mahitaji yote kwa Wilaya ya Serengeti, maana yake, hii igawanywe katika kila sekta ya kiamaendeleo kwa Wilaya, ambayo ni ukweli kuwa haitoshi kwa lolote.

Hivyo basi kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2012 Serengeti ina jumla ya wakazi 47,000 na Mugumu pekee ina Kata 7, na kuna bwawa moja tu kama chanzo cha maji(bwawa la Manchira) hivyo kwa namna yoyote ile miundo mbinu ya upatikanaji maji bado haijitoshelezi.

Lakini pia nimeelezea kwa namna ipi idara ya maji Mugumu (MUGUWASA)inavyojiendesha kwa hasara, kwa kuzingatia gharama kubwa ya uendeshaji mitambo na makusanyo ya kila mwezi kutoka kwa Wateja ambayo ni 7milioni tu, wakati MUGUWASA inalipia gharama za uendeshaji TANESCO takribani Milioni 16 kwa mwezi. Hivyo nimeiomba serikali kutafuta njia mbadala ya uendeshaji mitambo ya maji kwa Mugumu ili isaidie kupunguza gharama kwa shirika na kwa watumiaji pia.

Kingine nimeiomba serikali kuharakisha mchakato wa upatikanaji meter za maji kwa wakazi/wateja wa MUGUWASA kwa kuzingatia uwiano wa meter zilizopo na idadi ya wateja. Mathalani kwa sasa MUGUWASA ina wateja 1536 lakini ni wateja 509 tu waliounganishiwa meter za maji.
Kwanini nimeomba meter ni kwasababu tutaondoa urasimu mkubwa wa ufujaji wa pesa zetu na hii itaongeza pato kwa serikali.

Ahsanteni na nawakaribisheni kwa mawazo yenu.

Mungu awabariki sana.
 
View attachment 508264
Leo Tarehe 12/05/2017..kwa Mara ya kwanza nimepata nafasi ya kuchangia kwenye bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji. Nimegusia sehemu kubwa ya Wilaya ya Serengeti na kwa namna palivyo na uhaba wa upatikanaji maji hasa kwa Mji wa Mugumu na kata zake 7.

Lakini pia kwa eneo lote la Wilaya ya Serengeti kwa ujumla.

Nimesikitishwa kuona kwamba Serikali imetenga kiasi cha Tsh 850,000,000 pekee kwa bajeti ya mwaka 2017-2018 kwa mahitaji yote kwa Wilaya ya Serengeti, maana yake, hii igawanywe katika kila sekta ya kiamaendeleo kwa Wilaya, ambayo ni ukweli kuwa haitoshi kwa lolote.

Hivyo basi kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2012 Serengeti ina jumla ya wakazi 47,000 na Mugumu pekee ina Kata 7, na kuna bwawa moja tu kama chanzo cha maji(bwawa la Manchira) hivyo kwa namna yoyote ile miundo mbinu ya upatikanaji maji bado haijitoshelezi.

Lakini pia nimeelezea kwa namna ipi idara ya maji Mugumu (MUGUWASA)inavyojiendesha kwa hasara, kwa kuzingatia gharama kubwa ya uendeshaji mitambo na makusanyo ya kila mwezi kutoka kwa Wateja ambayo ni 7milioni tu, wakati MUGUWASA inalipia gharama za uendeshaji TANESCO takribani Milioni 16 kwa mwezi. Hivyo nimeiomba serikali kutafuta njia mbadala ya uendeshaji mitambo ya maji kwa Mugumu ili isaidie kupunguza gharama kwa shirika na kwa watumiaji pia.

Kingine nimeiomba serikali kuharakisha mchakato wa upatikanaji meter za maji kwa wakazi/wateja wa MUGUWASA kwa kuzingatia uwiano wa meter zilizopo na idadi ya wateja. Mathalani kwa sasa MUGUWASA ina wateja 1536 lakini ni wateja 509 tu waliounganishiwa meter za maji.
Kwanini nimeomba meter ni kwasababu tutaondoa urasimu mkubwa wa ufujaji wa pesa zetu na hii itaongeza pato kwa serikali.

Ahsanteni na nawakaribisheni kwa mawazo yenu.

Mungu awabariki sana.
Serikali imetenga milioni 850 anasema hazitoshi ok sio kesi atuambie huko mugumu huwa wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwaka kama kodi zinazoingia TRA? Anaposema ni ndogo atutajie Na wao huwa wanaingiza ngapi? Au anataka maeneo mengine inayokamuliwa sana Na TRA waendelee kukamuliwa ili wachangie watu wa mugumu ambao mchango wao TRA ni mdogo?
 
Wabunge wawe wanatoa michango yenye mantiki kama huyu, unagusa sehem moja unaichambua
 
Mugumu pana changamoto sana ya maji! kuna nyakati unashindwa kabisa kuyatumia japo yanapatikana! Wakazi wa mji huo waishukuru sana Tanapa kwa kuboresha miundombinu ya bwawa la Manchira! ila mji una starehe ule!
 
Umejenga hoja vizuri tena umecheza na data. Umewashinda waheshimiwa wengi sana na wakongwe ambao wenyewe hutumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja.
 
Serikali imetenga milioni 850 anasema hazitoshi ok sio kesi atuambie huko mugumu huwa wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwaka kama kodi zinazoingia TRA? Anaposema ni ndogo atutajie Na wao huwa wanaingiza ngapi? Au anataka maeneo mengine inayokamuliwa sana Na TRA waendelee kukamuliwa ili wachangie watu wa mugumu ambao mchango wao TRA ni mdogo?

..bajeti ya maendeleo haipangwi namna hiyo ndugu yangu.
 
Serikali imetenga milioni 850 anasema hazitoshi ok sio kesi atuambie huko mugumu huwa wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwaka kama kodi zinazoingia TRA? Anaposema ni ndogo atutajie Na wao huwa wanaingiza ngapi? Au anataka maeneo mengine inayokamuliwa sana Na TRA waendelee kukamuliwa ili wachangie watu wa mugumu ambao mchango wao TRA ni mdogo?
Punguza usahaulifu. Kati ya Mwanza na chato wapi kunaingiza mapato? Kati ya Kilimanjaro na chato.
 
View attachment 508264
Leo Tarehe 12/05/2017..kwa Mara ya kwanza nimepata nafasi ya kuchangia kwenye bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji. Nimegusia sehemu kubwa ya Wilaya ya Serengeti na kwa namna palivyo na uhaba wa upatikanaji maji hasa kwa Mji wa Mugumu na kata zake 7.

Lakini pia kwa eneo lote la Wilaya ya Serengeti kwa ujumla.

Nimesikitishwa kuona kwamba Serikali imetenga kiasi cha Tsh 850,000,000 pekee kwa bajeti ya mwaka 2017-2018 kwa mahitaji yote kwa Wilaya ya Serengeti, maana yake, hii igawanywe katika kila sekta ya kiamaendeleo kwa Wilaya, ambayo ni ukweli kuwa haitoshi kwa lolote.

Hivyo basi kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2012 Serengeti ina jumla ya wakazi 47,000 na Mugumu pekee ina Kata 7, na kuna bwawa moja tu kama chanzo cha maji(bwawa la Manchira) hivyo kwa namna yoyote ile miundo mbinu ya upatikanaji maji bado haijitoshelezi.

Lakini pia nimeelezea kwa namna ipi idara ya maji Mugumu (MUGUWASA)inavyojiendesha kwa hasara, kwa kuzingatia gharama kubwa ya uendeshaji mitambo na makusanyo ya kila mwezi kutoka kwa Wateja ambayo ni 7milioni tu, wakati MUGUWASA inalipia gharama za uendeshaji TANESCO takribani Milioni 16 kwa mwezi. Hivyo nimeiomba serikali kutafuta njia mbadala ya uendeshaji mitambo ya maji kwa Mugumu ili isaidie kupunguza gharama kwa shirika na kwa watumiaji pia.

Kingine nimeiomba serikali kuharakisha mchakato wa upatikanaji meter za maji kwa wakazi/wateja wa MUGUWASA kwa kuzingatia uwiano wa meter zilizopo na idadi ya wateja. Mathalani kwa sasa MUGUWASA ina wateja 1536 lakini ni wateja 509 tu waliounganishiwa meter za maji.
Kwanini nimeomba meter ni kwasababu tutaondoa urasimu mkubwa wa ufujaji wa pesa zetu na hii itaongeza pato kwa serikali.

Ahsanteni na nawakaribisheni kwa mawazo yenu.

Mungu awabariki sana.
Hongera sana ni mwanzo mzuri keep up the good work.
 
..bajeti ya maendeleo haipangwi namna hiyo ndugu yangu.
Pesa za miradi ya maendeleo nyingine huwa mikopo toka mashirika ya pesa Ya kimataifa kwa hiyo kama ni za mikopo mnataka wapewe mugumu ambao ulipaji kodi wao mdogo mnataka hayo madeni ya pesa zilizokopwa zilipwe Na kodi ya wakulima wa korosho lindi au zilipwe kupitia vyanzo VIpi? Mradi wa maendeleo ulipangwa lazima payback kutoka eneo husika iangaliwe ndio maaa
 
View attachment 508264
Leo Tarehe 12/05/2017..kwa Mara ya kwanza nimepata nafasi ya kuchangia kwenye bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji. Nimegusia sehemu kubwa ya Wilaya ya Serengeti na kwa namna palivyo na uhaba wa upatikanaji maji hasa kwa Mji wa Mugumu na kata zake 7.

Lakini pia kwa eneo lote la Wilaya ya Serengeti kwa ujumla.

Nimesikitishwa kuona kwamba Serikali imetenga kiasi cha Tsh 850,000,000 pekee kwa bajeti ya mwaka 2017-2018 kwa mahitaji yote kwa Wilaya ya Serengeti, maana yake, hii igawanywe katika kila sekta ya kiamaendeleo kwa Wilaya, ambayo ni ukweli kuwa haitoshi kwa lolote.

Hivyo basi kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2012 Serengeti ina jumla ya wakazi 47,000 na Mugumu pekee ina Kata 7, na kuna bwawa moja tu kama chanzo cha maji(bwawa la Manchira) hivyo kwa namna yoyote ile miundo mbinu ya upatikanaji maji bado haijitoshelezi.

Lakini pia nimeelezea kwa namna ipi idara ya maji Mugumu (MUGUWASA)inavyojiendesha kwa hasara, kwa kuzingatia gharama kubwa ya uendeshaji mitambo na makusanyo ya kila mwezi kutoka kwa Wateja ambayo ni 7milioni tu, wakati MUGUWASA inalipia gharama za uendeshaji TANESCO takribani Milioni 16 kwa mwezi. Hivyo nimeiomba serikali kutafuta njia mbadala ya uendeshaji mitambo ya maji kwa Mugumu ili isaidie kupunguza gharama kwa shirika na kwa watumiaji pia.

Kingine nimeiomba serikali kuharakisha mchakato wa upatikanaji meter za maji kwa wakazi/wateja wa MUGUWASA kwa kuzingatia uwiano wa meter zilizopo na idadi ya wateja. Mathalani kwa sasa MUGUWASA ina wateja 1536 lakini ni wateja 509 tu waliounganishiwa meter za maji.
Kwanini nimeomba meter ni kwasababu tutaondoa urasimu mkubwa wa ufujaji wa pesa zetu na hii itaongeza pato kwa serikali.

Ahsanteni na nawakaribisheni kwa mawazo yenu.

Mungu awabariki sana.
Hata hivyo,niseme tu kwa hizo 850m/-, inawezekana kabisa ni wilaya iliyopata hela nyingi kuliko nyingine nyingi tu
 
Serikali imetenga milioni 850 anasema hazitoshi ok sio kesi atuambie huko mugumu huwa wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwaka kama kodi zinazoingia TRA? Anaposema ni ndogo atutajie Na wao huwa wanaingiza ngapi? Au anataka maeneo mengine inayokamuliwa sana Na TRA waendelee kukamuliwa ili wachangie watu wa mugumu ambao mchango wao TRA ni mdogo?
Ndivyo bajeti mnavyofanya kuwa upangiwe kutokana na unachoingiza?

Misaada ya nini sasa kama tunatakiwa kutumia tunachokikusanya?
 
Serikali imetenga milioni 850 anasema hazitoshi ok sio kesi atuambie huko mugumu huwa wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwaka kama kodi zinazoingia TRA? Anaposema ni ndogo atutajie Na wao huwa wanaingiza ngapi? Au anataka maeneo mengine inayokamuliwa sana Na TRA waendelee kukamuliwa ili wachangie watu wa mugumu ambao mchango wao TRA ni mdogo?
Wataalamu wa maswala ya kodi hawakubaliani na benefit theory, kwa hiyo unapoongea pumba kama hizo tunakushangaa sana. Na kama tukifuata benefit theory kama unavyotaka wewe kwenye maswala ya kodi nadhani watu kama Mengi na Manji walipaswa wapelekewe Wanajeshi wa kuwalinda majumbani mwao, pia wapewe magari ya zimamoto kila mmoja, wapewe ambulance kila mmoja nk maana wanachangia pato la taifa kuliko wewe!
 
Pesa za miradi ya maendeleo nyingine huwa mikopo toka mashirika ya pesa Ya kimataifa kwa hiyo kama ni za mikopo mnataka wapewe mugumu ambao ulipaji kodi wao mdogo mnataka hayo madeni ya pesa zilizokopwa zilipwe Na kodi ya wakulima wa korosho lindi au zilipwe kupitia vyanzo VIpi? Mradi wa maendeleo ulipangwa lazima payback kutoka eneo husika iangaliwe ndio maaa

..huduma za jamii lazima zipelekwe kwa waTz wote bila kubagua.

..tusibaguene nchini kwamba eneo fulani linachangia mapato kidogo hivyo linastahili kuachwa ktk dhiki ya ukosefu wa huduma za kijamii.

..tunachoweza kufanya ktk maeneo kama hayo ni maafisa maendeleo kuwa CREATIVE ktk kubuni miradi ya UZALISHAJI MALI ili wananchi wawezd kuongeza vipato vyao na kulipa kodi zaidi.
 
Back
Top Bottom