Recent content by nachoka

  1. nachoka

    Serikali yafuta fao la kujitoa katika mifuko ya hifadhi ya jamii

    Haya ndio matunda ya kua na bunge la chama kimoja. Kila kitu ndio mheshimiwa
  2. nachoka

    Wanaume kama hawa

    Yaani mimi nihangaike kutafuta pesa, nikupe tena unaniringishia! Kaa nacho tu kwakweli siku ukinipa nitakupa! Hakuna kuhonga siku hizi! Kazi kwa malipo nipe nikupe
  3. nachoka

    Wanaume wa siku hizi wamekua waoga sana hadi wanatia aibu

    Huo ndio uanaume. Hapo alikua anakuchunguza aone kama una hadhi yakua naye. Lakini kwa hali iliyojitokeza hakika mwanaume huyo alikudharau sana. Yaani hadhi yako ipo chini Sana. Hivyo ndivyo wanaume wengi tulivyo. Hatupapariki na wanawake tusiowajua mwisho wa siku tulale sero au tukwae magonjwa
  4. nachoka

    Jinsi nilivyojitoa kwenye foleni ya kung'oa jino

    Kama domo limevimba inaonesha hilo jino linatoa usaha dawa yake ni kung'oa tu. Usifanye masihara na jino linaweza kuutoa uhai wako
  5. nachoka

    Watumishi wa umma sasa kwisha

    Itapofikia mahali mtu mmoja kujiona yeye ndio bora, mwenye akili na mchapa kazi kuliko watu wengine wote nchini ni janga la kitaifa. Hapa ndio tulipo
  6. nachoka

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Profesa hapangiwi nini chakufanya, mitazamo haiwezi fanana tuvumiliane
  7. nachoka

    Mume anahitajika

    Mwanaume mwenye mvuto yupoje? Utazeeka kisa kuchagua!
  8. nachoka

    Mnyika: Kwa mliotaka maelezo zaidi ya kutolewa kwangu kwa kile kilichoelezwa kuwa ni "kutokuheshimu kiti"

    Kama kungekua na hali yakusikilizana na kuheshimu michango ya wengine huu ufafanuzi ungekua na maana. Mawazo mbadala hayapo tena wote sauti moja tu
  9. nachoka

    Hivi inawezekana mume wa mtu kumpenda mwanamke wa nje kwa dhati kabisa?

    Mwanaume anapenda sehemu moja tu, zingine ni taama tu kwani kuonjaonja ni sehemu ya maisha yake. Anaweza akawa ameoa lakini hajampenda huyo mke.
  10. nachoka

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Pole kwa yaliyokukuta, kupoteza kazi ni sehemu ya maisha! Ushauri: Epuka kunywa pombe kupita kiasi kwa kigezo cha kupoteza mawazo. Hongera kwa hatua uliyofikia! Nyumba haijengwi kwa siku moja, hata miaka kumi utamalizia tu! Sehemu uliyofikia ni nzuri! Usidhubutu kuuza nyumba uliyohangaika...
  11. nachoka

    Kwa haya mambo, Waziri wa Viwanda na Biashara ni bora ajiuzulu

    Mamlaka zimetega masikio kusikia rais atasema nini ili zikurupuke kutekeleza! Kwani walikua wapi kutatua hizi changamoto hadi mzigo umeisha store ndio wanahaha!
  12. nachoka

    Walimu wa kike ndo 'wife material' wasiochuja mtaani

    Natafuta mwalimu aakuoa kwa hizo sifa atanifaa
  13. nachoka

    Wanaume kuwa na aibu za kitoto

    Wewe hujui wanaume, unataka aoneshe mapenzi mubashara ili akose vizuri vya nje! Ukiona hivyo ujue akili haipo kwako
  14. nachoka

    Ziara yangu ya siku 6 nchini Korea Kaskazini: Tanzania hakuna udikteta

    Vipi nikitaka kujitwalia mke huko NK Sheria zipoje?
  15. nachoka

    Mwizi wa deki G/Mboto atumiwa nyuki

    Huenda itasaidia kupunguza vibaka wanatia hasira
Back
Top Bottom