Recent content by nachasudwa

  1. nachasudwa

    Kuunganisha vitega uchumi baada ya ndoa

    Wanajanvi naomba msaada wa mawazo yenu, Lipi sahihi kwa mume na mke kuunganisha vitega uchumi baada ya ndoa au kila MTU kubaki na vitega uchumi vyake na kushilikishana kimawazo na kusaidiana katika kukuza uchumi wa familia
  2. nachasudwa

    Kijana epuka ndoa na wanawake wenye kazi hizi

    Ni mtizamo wako Sent using Jamii Forums mobile app
  3. nachasudwa

    Jina gani hutaki kabisa hata kuliskia

    Rashidi.....mmmhhmm namuachia aliye juu
  4. nachasudwa

    Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

    Maisha yako yangekuwa haya tuhusu usinge tuletea Uzi huu,kwahiyo soma elewa na lizika na kile utakacho shauliwa au kujibiwa na si ndo lengo lako haswa LA kuleta Uzi huu tuuchambue na kuujadili,una Uhuru wa kusema chochote ila usiwasemee wanaume wenzio kila MTU anajua anacho taka,usicho kitaka...
  5. nachasudwa

    Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

    Atakuwa team kibamia ataki ujue kabla ya ndoa
  6. nachasudwa

    Nimeombwa hela ya kusukia

    Duuh yaani wadada kwanini wanakuwa wavivu kutafuta pesa hizo za kusukia sijui kucha,tuache tabua huzo zinanikelaaa......!cjui nipepo hill?
  7. nachasudwa

    Nitumie mbinu gani niweze kumuacha mume wa mtu?

    Hapana sina hasira hata ungeongea baya kiasi gani siwezi kukutukana,nimejaribu tu kukufafanulia kwa upande wangu hakuna nachokipata kimaslahi zaidi ya upendo wake na heshima anayo nipa tu
  8. nachasudwa

    Nitumie mbinu gani niweze kumuacha mume wa mtu?

    Hahahahaaa mi so msumbufu
Back
Top Bottom