Wanajanvi naomba msaada wa mawazo yenu,
Lipi sahihi kwa mume na mke kuunganisha vitega uchumi baada ya ndoa au kila MTU kubaki na vitega uchumi vyake na kushilikishana kimawazo na kusaidiana katika kukuza uchumi wa familia
Maisha yako yangekuwa haya tuhusu usinge tuletea Uzi huu,kwahiyo soma elewa na lizika na kile utakacho shauliwa au kujibiwa na si ndo lengo lako haswa LA kuleta Uzi huu tuuchambue na kuujadili,una Uhuru wa kusema chochote ila usiwasemee wanaume wenzio kila MTU anajua anacho taka,usicho kitaka...
Hapana sina hasira hata ungeongea baya kiasi gani siwezi kukutukana,nimejaribu tu kukufafanulia kwa upande wangu hakuna nachokipata kimaslahi zaidi ya upendo wake na heshima anayo nipa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.