Recent content by Naa191

  1. N

    Mbona kama Dualis zinaanza kushuka?

    Nakubaliana na wewe, upo sahihi kabisa....huyu mdau yawezekana gari yake bado haijaanza kusumbua ila ni suala la muda tu.
  2. N

    Toyota Premio New Nodel inagonga sana, naomba Msaada Tafadhali

    Habari za jioni wakuu Nina Toyota premio ya mwaka 2008, hii gari imeanza kugonga chini yaan unavyoendesha hasa kwenye rough road unahisi kama usukani umeachia kwani unaskia manyanga ya kutosha chini. Nimejaribu kubadili engine mounting as zilikuwa zimekata kabisa lakini tatizo likapungua na...
  3. N

    Edward Ngoyai Lowassa

    Mhmm tusubiri
  4. N

    Utafiti: Matumizi ya simu za TECNO yamepungua sana

    Kama hajaelewa kwa maelezo yaliyoshiba plus na evidence na link juu basi kaamua tu kubishana. Asante kwa maezo mazuri, kuna kitu nimejifunza.
  5. N

    Mathayo 15 (1- 39) Kiingiacho kinywani hakimtii mtu najisi?

    Umeandika vizuri sana, ila mwisho ndio umeharibu.
  6. N

    Mliofanikiwa kutoa Zaka asilimia 10% ya vipato vyenu mmewezaje? Binafsi naishia kusaidia 2% hadi 4%

    Mkuu safi sana kwa maelezo mazuri. Najaribu kutafakari kwanini kwenye agano jipya hakuna mistari inayoeleza suala la zaka? Kama ipo naomba kueleweshwa.
  7. N

    Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

    Dawa ya malaria ni tofauti na kinga...hakuna kinga ya malaria....mfano wako ni irrelevant.
  8. N

    Kwanini Bageni amehukumiwa kunyongwa peke yake kati ya watu 13 alioshitakiwa nao...

    Ndugu zake wanaingiaje hapa....sio busara kutukana ndugu zake ambao hawajui lolote kuhusu hoja hizi.
  9. N

    Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Kilo moja ya mawe na kilo moja ya pamba ipi nzito? Hatari sana
  10. N

    Hivi ambao si Wachagga huwa wanajisikiaje wakiona Wachagga wakihangaika kwenda makwao Desemba?

    Nice comment.....sidhani kama atarudi kujustfy madai yake.
Back
Top Bottom