Recent content by n00b

  1. n00b

    Tanzania Development Vision 2050: A critical view and alternative thoughts

    The Tanzania Development Vision 2050 is a detailed and ambitious document that outlines a clear and inspiring plan for the country's future. Its strengths include inclusive language, a solid foundation in good governance, an honest look at past challenges, and a logical structure that connects...
  2. n00b

    GE2025 Mkuranga: Kura feki za kamatwa zikisafirishwa kwenda ukumbini

    Yadaiwa karatasi zimekuwa na TIKI hata kabla ya Uchaguzi Walalamikia mchezo mchafu kufanyika. Waomba maamuzi yafanywe na viongozi wa juu haraka
  3. n00b

    Kitendo cha Jaji Mkuu kutambua nafasi ya Makamu wa Rais Bara kama Makamu wa Pili; Je, ni bahati mbaya ama?

    Hii si kwa bahati mbaya. Jaji Mkuu anajua anachoongea
  4. n00b

    Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

    Amefariki jana
  5. n00b

    Donald Trump never visited Africa as President! His family (wife and daughter) praised USAID’s work

    We look at what will a second Trump term means for Africa - a continent the President has never visited and has openly denigrated. Ivanka Trump visited Ethiopia in 2019 to promote the Trump administration’s $50 million Women’s Global Development and Prosperity initiative, funded through the...
  6. n00b

    Museveni: Ugandan Youths are supporting Muhoozi due to the weaknesses of the NRM

    President Museveni has linked the apparent appeal of his son, Gen Muhoozi Kainerugaba, to younger Ugandans to their “frustration” with weaknesses within the ruling National Resistance Movement (NRM) party. In his first detailed public comments about the activities of Gen Muhoozi, the President...
  7. n00b

    Uhispania Yawakamata Wadukuzi 40 katika Msako dhidi ya Genge lao

    Mamlaka za Uhispania wiki hii zilitangaza kukamatwa kwa watu 40 kwa kujihusisha kwao katika genge la uhalifu lililofanya ulaghai wa benki, kughushi nyaraka, wizi wa utambulisho na utakatishaji fedha. Wawili kati ya watu hao, mamlaka inasema, walikuwa na jukumu la kutekeleza ulaghai wa benki...
  8. n00b

    Huyu “Arafa Kikwete” ni nani haswa?

    Naam, ni mke wa Ridhiwani Kikwete; amemwakilisha Mama Mkwe wake.
  9. n00b

    Dodoma: NEMC yazifungia Rainbow na Chako ni Chako kwa kupiga kelele

    Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia bar za wazi za Rainbow na Chako ni Chako Pub za Jiini Dodoma baada kukuta kelele zilizo kinyume cha sheria ya usimamizi wa mazingira namba 20 va mwaka 2004 na kanuni ya viwango vya udhibiti wa kelele na mtetemo ya mwaka...
  10. n00b

    Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

    Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi. Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake...
  11. n00b

    LATRA ichunguzwe na mamlaka katika mfumo mzima wa tenda za kufunga Ving'amuzi (VTS), Kuna shida mahali

    KUNA MENGI YA HOVYO YANAENDELEA KWENYE HII TAASISI, TUNAJIULIZA KAMA MH. WAZIRI MKUU AMEWAWAJIBISHA MENEJA WA TANESCO NA WATU WAKE KWA TATIZO LA KUPATIKANA KWA LUKU. JE HAWA WATU WA TEHAMA WA LATRA WANAAACHWAJE KWA UBABAISHAJI WA KWENYE MFUMO WA ONLINE TICKETING NA KUTUSABABISHIA WENGINE HASARA...
  12. n00b

    Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

    Hawapendi Rais aguswe. Sasa aliomba mamlaka haya akitarajia tukae kimya tunapoona makosa?
  13. n00b

    Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

    Wasiovaa masks ni wapumbavu na upumbavu ni kipaji (kama alivyosema Nyerere). Nilifurahishwa kumwona Kitila Mkumbo akiwa amezingatia kuvaa mask. Maisha haya ni yako, si ya Serikali wala Dini/kanisa lako!
  14. n00b

    Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

    Yaani, Magufuli kama Rais katwambia siku ina saa 48 na kuwa mtu anatumia barakoa 12 kwa siku 1. Yaani, unapoamua kudanganya basi usiwafanye wananchi wako wote vilaza kiviiile. Nilijikuta nacheka mwenyewe yaani
Back
Top Bottom