Recent content by N.dizzle guy

  1. N

    daaaah.. mgomo wa mabasi n tatizo

    daaaah.. now nko ubungo naangalia n namna gani naweza fika kituo Arusha dc.. lakin mpaka sasa hakuna basi hata moja lililoruhusiwa hapa ubungo stendi... daaaah jamani hii serikali yetu mbona haiwi pro active mpaka tukio litokee ndo wachukue hatua
  2. N

    Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya

    ww acha kulialia hpa.. tamisemi wanajua wanachofanya.. so kuwapangia watu tofauti na maeneo waliyoomba n kuondoa ile dhana ya preference ambayo watu tunayo.. hv unafikiri kila mtu angepangiwa alikoomba s shule zngine zngekosa walimu... ulishasmbiwa mjini pamejaa mpaka kna walimu wa ziada...
  3. N

    Tarehe ya kuripoti kwa waalimu wapya

    jaman mbna mnakua wagumu kuelewa.. tangazo lenyewe linajieleza... wameondoa kwa muda orodha ya majina ili kuwajumuisha na wahitimu wa SEKUCO.. xo hamna mabadiliko yatakayo fanyika kwa wale waliokwisha pangiwa halmashauri... na tarehe ya kuriport haitobadilika pia coz kinachofanyika n kuingiza tu...
  4. N

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Wale wa ARUSHA DC tufahamiane bac.. mwenye info zote kuhusu Arusha dc atusaidie
  5. N

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    kwan wameshatoa post tayari....!
  6. N

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    Hv kwa wale mnaosema ajira za walimu mwaka huu hamna.. sijui serikali haina pesa... hv niwaulize mshawahi kusikia hata siku moja serikali ikatangaza kuwa ina pesa... msiwe km wageni na serikali zetu za kibongo...kila cku serikali itakwambia hamna pesa afu ukicheki mambo mengine yanatekelezwa km...
  7. N

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    sakharov Kijana kuwa na subira, ndo kwanza february hata haijaisha, post zitatoka tu, hata mwaka jana ilikua hvo hvo but hatimaye zikatoka.
  8. N

    UDSM 2014 Graduates - Certificates are ready for collection

    daaaah... hv watakubali kwel.. coz mm pia cna hzo attachments zngine.. hpa ninatranscript bac..
  9. N

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    siku zote ukiona mtu kapost post km hii ujue huyo mtu anasugua bench mtaan hana mishe.. hvo anataka kuwavunja moyo walimu wenye uhakika na ajira zao mkononi.. Utauponda sana ualimu lakin mwalimu ajira yake ipo.. na ww wa sociology utaendelea kusugua bench mtaan... Walimu oyeeeeee....
  10. N

    Mifuko ya pension

    poa poa
  11. N

    Mifuko ya pension

    thanks... nimekupata mkuu...
  12. N

    Mifuko ya pension

    Msaada jamani : hivi mnavyoona kunaulazima kwa mwajiriwa kujiunga na mifuko ya pension km NSSF,PPF, LAPF etc.. Na ni mfuko gani wa lazima ambao kila mwajiriwa anatakiwa kujiunga?
  13. N

    Mwalimu wa degree anayeanza kazi analipwa kiasi gani?

    Hv mwalimu wa degree anaeanza kazi anapokea sh ngap kama take home
  14. N

    Serikali kusitisha Ajira za Walimu ifikapo mwaka 2015

    hv kawambwa ameshindwa kufanya kazi hadi anamuachia waziri wa chakula kuisemea wizara ya elimu au..
Back
Top Bottom