Natafuta nyumba yakupanga maeneo ya KILUVYA KWA KOMBA au KIBAMBA NJIA PANDA YA SHULE iwe na Chumba kimoja Self , Sebule na Jiko.
Ndani Gypsum,Feni,Umeme wakujitegemea na iwepo sehemu ya Parking ya Gari ndogo
Tumeweka pingamizi tayari mahakaman na CRDB hawajatoa jibu juu ya pingamizi hilo,na kilichotushangaza zaidi tarehe 27 June 2016 (Jumatatu iliyopita) walipita na kipaza sauti mtaani kwetu wakitangaza mnada wa nyumba na kesho yake tarehe 28 June 2016 walikuja nje ya nyumba wakapaza sauti eti wapo...
Mzee(Baba) alitumia Hati ya Nyumba ya familia kukopea mkopo CRDB Milion 9 pasipo wanafamilia kujua(alikopa kwa siri bila kufata utaratibu) na sahihi ya mke(Mama) ilifojiwa.
Kama familia tumegundua baada ya marejesho kukwama ambapo alikuwa tayari kabakiza deni la Milion 6 na Laki 3. Mpaka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.