Recent content by MZUNAYE

  1. M

    Mtaalamu wa tv,cctv,intercom na data/wifi networking yuko j/f

    Wanajamvi ninajishughulisha na ufungaji wa wiring za tv,kamera za usalama yaani cctv,tv satelite dish,simu za ndani extensions pamoja na data net(intenate) ktk maofisi mahotel na majengo ya kawaida na maghorofa.anaenihitaji napatikana dar 0713 276 283 aksanteni wajenzi mmenisikia gharama zangu...
  2. M

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Yawezekana inategemea make ya tv yako kama ina support zote lan na wifi
  3. M

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Wakuu eeee mimi kdg nakautalaamu kuhusu ict,achaneni na haya ma chanel ya kutumia ma dish iwe ku band ama c band.kanunue smart tv yyte ambayo ina port ya lan(local area network)hutumika kwenye internet then nenda ktk network set up ya menu ktk tv yako uki serch utapata chaneli mpaka elf 4.nb...
  4. M

    Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

    Mombasa/kwa diwani/kwa maguruwe/kwa mfuga mbwa/kwa matiasi/maili moja/bomubomu kijiwe samli/mwembe yanga endelea
  5. M

    Jipatie mkwanja kwa njia hii..

    Sasa hawa jamaa wanakupa task ipi ndo wakulipe?na wao wana benefit nn
  6. M

    Mwenye namba hii ananitishia amani anadai ataniua ndani ya siku nne

    Pole kaka jifanye kama unatuma tigopesa hivi utaona jina lake ktk display halafu tafuta sheh asome albadiri kabla hajakuwahi
  7. M

    tafadhali wenyeji nifungulieni

    Jamani mm new comer wana jf naomba mnitambue
  8. M

    Funny Names of MPs

    Pesambili/simbachawene/
  9. M

    Funny Names of MPs

    Kigoda,maua madaftari,ghasia
  10. M

    Nahisi kilimo cha kitunguu "kitanitoa"

    kaka fungua mtandao wa yutube halafu andika how to grow onions kuna wataalamu ucpime
Back
Top Bottom