Wanajamvi ninajishughulisha na ufungaji wa wiring za tv,kamera za usalama yaani cctv,tv satelite dish,simu za ndani extensions pamoja na data net(intenate) ktk maofisi mahotel na majengo ya kawaida na maghorofa.anaenihitaji napatikana dar 0713 276 283 aksanteni wajenzi mmenisikia gharama zangu...
Wakuu eeee mimi kdg nakautalaamu kuhusu ict,achaneni na haya ma chanel ya kutumia ma dish iwe ku band ama c band.kanunue smart tv yyte ambayo ina port ya lan(local area network)hutumika kwenye internet then nenda ktk network set up ya menu ktk tv yako uki serch utapata chaneli mpaka elf 4.nb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.