Recent content by mzulu natal

  1. M

    Watu karibu 700 wafariki kwa COVID-19 Ujerumani

    Ina maana mpaka sasa wazungu hawataki kutoa chanjo tu duh!
  2. M

    Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

    pole sana mkuu mungu atakufanya wepesi INSHAALLAH
  3. M

    Chombo kilichotumwa mwezini na China kwa lengo la kukusanya mawe na mchanga chawasili

    sisi bado tunafikiria kuiba kura tu na kunanunua wapinzani
  4. M

    Nini tafsiri ya neno hili mwishoni mwa baadhi ya video za miziki

    hyo mara nyingi hutokea pale video husika inapoisha alafu wakaweka trailer ya video hijayo ndo maana ya hyo nema kama ushawahi kuiona video ya mambo bado chege,tembo na lady jd mwishon inakuja ngoma nyingin mkono moja juu alafu inakatishwa ikaandikwa to be ct........n nais umenyelewa
  5. M

    Ujumbe kwa wanawake wote

    sasa wewe kuwa kma msomi basi hii post yako inasoma na njinsia zote yani mume na mkee sasa wewe unavyosema *nyie wenye wowo* ina maana gani mkuu si dharau hizo boss
Back
Top Bottom