Umuhimu wake ni hizo nyimbo na video zinazoonesha madem wamebana mat.ako, kuvaa minyororo shingoni, kujirusha kwenye ma pub, kutoboa masikio, na kuvaa mlegezo? kawafunza nini wadogo zetu zaidi ya kuwaharibu? hivi wewe mpagani au? hata kama, huwezi kufikiri faida na hasara? nawe utakuwa ni...