Recent content by mzizimkuu

  1. mzizimkuu

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    mapenzi kwa watoto wa chuo unahitaji moyo wa ziada.kata mawasilano nae tafuta bint kidogo yupo nje ya elimu ya chuo tangaza nia oa hakuna namna huyo mtoto ni pasua kichwa
  2. mzizimkuu

    Simulizi za the Bold

    nilisoma mahali humu 18/10 anarudi...ila avatar yake iko bado BANNED
  3. mzizimkuu

    Mwenye kitabu hiki, na mimi nakihitaji

    ili uongeze maarifa soma vitabu vingi pia uwe na uwezo wa kuchambua mawazo na kuweka dhamira yakufanya yale mazuri kwenye vitabu ulivyosoma.....MWL RCT.....endelea na huo moyo
  4. mzizimkuu

    Bia ya Reds ndani ya chupa ya Safari

    hakika hakuna ubishi....
  5. mzizimkuu

    Hizi ndizo bendera tatu maarufu mitaani, za CCM na CHADEMA hazimo

    Kama Israel ni sana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mzizimkuu

    Thinking Deeply: Ilikuwaje Tundu Lissu akavuliwa nguo zote na kupewa dereva badala ya mke wake?

    duuuh maswali mengine bhaana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mzizimkuu

    Series (Special thread)

    narcos....story ya drugs lords.. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mzizimkuu

    Kwanini watu hula bisi (popcorn) sehemu za sinema?

    simple kubeba pia hutia hamasa ukitafuna huku una watch movie ila usikaee karibu na watu wenye mizuka na muku huishia kuzirusha na kumwaga eti movie imemwingia Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mzizimkuu

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    cha msingi cha kuangalia hapo ni upatikanaji wa materials near na site hazinashida kabisa za vaa hata za inch 4... Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mzizimkuu

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    yaaap huna haja kununua matofali ya inch 6...kwenye kugawanyisha vyumba ndani husaidia kuokoa gharama Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mzizimkuu

    Hizi ni baadhi ya kazi ambazo mhudumu ukiwa mwanaume uwezi lala njaa

    mkuu umesahau mc na dj Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mzizimkuu

    Haya ni mawazo potofu sana

    kweli tabia za ajabu ajabu za uonevu bila kufuata sheria tuziache
  13. mzizimkuu

    Zitto: Kuzuia mikutano kunaminya demokrasia

    kwann hakutumia hiyo fursa alipopata nafas ya kuwasalimu wapiga kura wake anakuja kuongea huku....ili tumwoneje Sent using Jamii Forums mobile app
  14. mzizimkuu

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    moshi star tv 42inch...bei gani Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom