Recent content by Mzinza wa town

  1. M

    GE2020 Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu, Wajiunga Pamoja Kuikampenia CCM, Watumia Basi Maalum, CCM Campaign Bus, Kufikia Wengi, Wasaidia Sana CCM Kuvuna Kura!

    Hao wahitimu wamesoma kwa pesa za ccm sio loan’s board au kwa influence ya ccm wamefutiwa madeni na loan’s board. Kwa muhitimu mwenye akili timamu akiwaza makato ya 15% na ile 6% ya retention fee hawezi kuikampenia CCM
  2. M

    ATCL anzisheni ofa ya kupanda ndege, pia wabunge wapelekeni Dar wapiga kura ambao hawajawahi fika

    Unataka watu wafike Manzese, Tandale, Bugururi, Mwembechai, Magomeni ili washangai nini?
  3. M

    Majibu ya Afya ya Akili ya Don Nalimison kutoka Hospitali ya Milembe-Dodoma na Hospitali ya Benjamin Mkapa-Dodoma

    Afya ya akili ahihitaji vipimo vya maabara. Mental status evaluation inatosha kujua kama una matatizo ya akili ama la
  4. M

    Geita: Wananchi wafanikiwa kumuua mamba aliyeua wakazi 5 akiwemo mtoto wa darasa la 3

    Google yenyewe inasema nyongo ya mamba sio sumu kama mnavyoaminishwa
  5. M

    Geita: Wananchi wafanikiwa kumuua mamba aliyeua wakazi 5 akiwemo mtoto wa darasa la 3

    Jamaa yuko sahihi. Kuna tafiti zimethibitisha kuwa hizo habari ni myth. Nyongo ya mamba sio sumu kama mnavyoaminishwa
  6. M

    Kati ya Chuo cha KCMC na MUHAS kipi bora zaid kwa kozi za Afya

    Kufeli sio sifa. Ni wajibu wa mwalimu kumjengea mwanafunzi mazingira mazuri aweze fanya vizuri
  7. M

    Kati ya Chuo cha KCMC na MUHAS kipi bora zaid kwa kozi za Afya

    Chuo ni chuo. Bidii yako ndo itakufanya uwe bora
  8. M

    COVID-19: Nani mkweli kati ya Serikali yetu na Ubalozi wa Marekani? Je, Tanzania tunawaogopa sana Wamarekani? Kwanini waseme uongo huu waachwe?

    Kwa hiyo ukiambiwa kuna vifo 300 strategies zitabadilika? Kuna tofauti ipi ya kuambiwa ugonjwa bado upo na kutangaziwa idadi ya vifo? Hatutangazi sasa.
  9. M

    COVID-19: Nani mkweli kati ya Serikali yetu na Ubalozi wa Marekani? Je, Tanzania tunawaogopa sana Wamarekani? Kwanini waseme uongo huu waachwe?

    Wewe ukitangaziwa wamekufa 200 itakusaidia nini? Utaenda kuwafufua? Serikali imeshasema ugonjwa upo tuchukue tahadhari full stop COVID ipo lakini sio ugonjwa special sana hadi tuutukuze. Kuna magonjwa mengi kila dakika yanaua watu wengi tu na maisha yanaendelea. Kwenye hii COVID namuunga...
  10. M

    Ubalozi wa Marekani waituhumu Tanzania kuficha takwimu za COVID 19, wasema kwa hali hii hauwezi kutoa hatima ya raia wake

    Watalamu walishasema COVID itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama surua, HIV/AIDs, chicken pox, malaria na magonjwa mengine. Hatuwezi kusimamisha shughuli zote kwa sababu ya ugonjwa ambao hatujui ukoje na lini utaisha. Kuhusu kufa watu hawajaanza kufa leo
  11. M

    Wale walio na wababa wanoko uwanja huu wenu

    Tuliodekezwa na baba zetu hata kubebwa mgongoni tunacoment wapi?
  12. M

    Taarifa za hospitali ya rufaa kanda, Bugando

    Yeah, nimewahi kuwa mkaazi huko
Back
Top Bottom